Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,803
- 2,884
Na viroboto natumia nn na dawa kama ya kununua ni kiasi ganiAsubuh ukiwa unawawekea chakula ni muda mzuri..wape kwa week mfululiz0 baadae uwe unawawekea at least mara mbili kwa week.kata vidogo dogo ili waweze kuvimeza.