Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
- Thread starter
- #21
wadu wanauliza vipi garama zako wanahitaji utoe mchanganuo wako kuna mtu yuko serious anataka apigwe msasa maeneo uliyoyataja. 0714 794842
gharama zinategemea na idadi ya watu, ugumu wa ku-deliver course yenyewe na uwezo wa mwanafunzi mwenyewe.