Kwa wadau wa Fiesta kesho

Kwa wadau wa Fiesta kesho

mtengwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
1,603
Reaction score
871
wale wanaoenda kumuona T.I kesho kwenye Fiesta, kuna Terms and Conditions wameandika kwenye tiketi zao.
Hivyo ni vema ukazijua kabla ya kwenda ili ikitokea bahati mbaya majanga usije kuwalalamikia.
Kwenye tiketi wameweka nyuma kwa herufi ndogo

1. The organiser and its agents shall not be liable for any loss, injury or damage within the premises

2. In the event of the concert cancellation due to rain, the event organisers will not be liable for any refunds on ticket



hizo ndo za muhimu sana nilizoziona ambazo lazima ujue, japo kuna nyingine pia wameweka
 
ila zisiwatishe wamejihamini tu incase ikatokea bahati mbaya
 
Hivi kuna watu wanaenda kwenye upuuzi wa fiesta? Kweli Ruge ana makondoo na mazombie wengi.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kuna watu wanaenda kwenye upuuzi wa fiesta? Kweli Ruge ana makondoo na mazombie wengi.

Sio uongo. Watz ni starehe tuu. Tukiambiwa katiba yetu imechakachuliwa na wahuni hakuna anayejua wala kujali. Majambazi ya CCM yanatupumbaza kwa pombe, ngono, udaku na maombi ya kipuuzi ya amani huku nyuma yenyewe yanabaka nchi mbele na nyuma
 
Last edited by a moderator:
wale wanaoenda kumuona T.I kesho kwenye Fiesta, kuna Terms and Conditions wameandika kwenye tiketi zao.
Hivyo ni vema ukazijua kabla ya kwenda ili ikitokea bahati mbaya majanga usije kuwalalamikia.
Kwenye tiketi wameweka nyuma kwa herufi ndogo

1. The organiser and its agents shall not be liable for any loss, injury or damage within the premises

2. In the event of the concert cancellation due to rain, the event organisers will not be liable for any refunds on ticket



hizo ndo za muhimu sana nilizoziona ambazo lazima ujue, japo kuna nyingine pia wameweka

Mwaka jana zilikuwepo??...wale umeme uliowakatikia mnabidi mkashtaki
 
Sio uongo. Watz ni starehe tuu. Tukiambiwa katiba yetu imechakachuliwa na wahuni hakuna anayejua wala kujali. Majambazi ya CCM yanatupumbaza kwa pombe, ngono, udaku na maombi ya kipuuzi ya amani huku nyuma yenyewe yanabaka nchi mbele na nyuma

Tunawatajirisha hao wapuuzi waandaaji wa fiesta halafu fedha wanakuja kutukanyagia dada zetu,fiesta ifutwe haina maana yeyote kwa watanzania nchi masikini na wanazidi kuwanyang'anya mazombie na misukule hata kidogo walichonacho!!
 
Sio uongo. Watz ni starehe tuu. Tukiambiwa katiba yetu imechakachuliwa na wahuni hakuna anayejua wala kujali. Majambazi ya CCM yanatupumbaza kwa pombe, ngono, udaku na maombi ya kipuuzi ya amani huku nyuma yenyewe yanabaka nchi mbele na nyuma

Kila mtu ana starehe yake. Mtazamo wako siku zote sio hauwezi kuwa sawa na wa mwingine.
 
Yaan huwa nakereka sana na watu wanaojifanya wao hawajui wala hawana muda na aina yoyote ya starehe.Ina maana kwenu huwa hakuna hata harusi??Na ukute huyo mtu ndi mshindaji na mlalaji wa gest na baa akiwa na vbnt vya shule.Hyo katba utaiwaza kila siku???Starehe zilikuwepo enz na enzi.
Na wewe unaesema wanawakanyagia dada zenu..we ni ------- ama ??au na nyie ni wale wale wa kudandia nguruwe na mbuzi.
 
Sio uongo. Watz ni starehe tuu. Tukiambiwa katiba yetu imechakachuliwa na wahuni hakuna anayejua wala kujali. Majambazi ya CCM yanatupumbaza kwa pombe, ngono, udaku na maombi ya kipuuzi ya amani huku nyuma yenyewe yanabaka nchi mbele na nyuma

halafu na wewe sijui vipi? wevunajua muda wote ni siasa tu? hata hao walio kutungia katiba wanafanya starehe itakua sisi? kuna mambo mengine uki yakomalia sana utaishia kuwehuka tu.
 
Yaan huwa nakereka sana na watu wanaojifanya wao hawajui wala hawana muda na aina yoyote ya starehe.Ina maana kwenu huwa hakuna hata harusi??Na ukute huyo mtu ndi mshindaji na mlalaji wa gest na baa akiwa na vbnt vya shule.Hyo katba utaiwaza kila siku???Starehe zilikuwepo enz na enzi.
Na wewe unaesema wanawakanyagia dada zenu..we ni ------- ama ??au na nyie ni wale wale wa kudandia nguruwe na mbuzi.

Misukule ya Ruge utawajua tu,hii show lazima ibume kwa7bu Ruge ni tapeli na magumashi kama matapeli wengine,wamebakiza mwaka m1 tu kuleta figisu figisu kwa kutumia mgongo wa mkulu.
 
Fiesta ndio kituko gani tena ? Elaboration if possible.
 
Misukule ya Ruge utawajua tu,hii show lazima ibume kwa7bu Ruge ni tapeli na magumashi kama matapeli wengine,wamebakiza mwaka m1 tu kuleta figisu figisu kwa kutumia mgongo wa mkulu.
Unajua vtu vingine ushabiki usio na maana huwa tunauweka kandi ndugu....Hahahahaaaa this is crazy " misukule " unajua kuna watu hata huyo luge wala hyo redio huwa hawaisikiliz na fiesta wanaenda kula raha kila mwaka.Ila sishangai watu kama wewe wapo weeeeeengi tu.
 
Yaan huwa nakereka sana na watu wanaojifanya wao hawajui wala hawana muda na aina yoyote ya starehe.Ina maana kwenu huwa hakuna hata harusi??Na ukute huyo mtu ndi mshindaji na mlalaji wa gest na baa akiwa na vbnt vya shule.Hyo katba utaiwaza kila siku???Starehe zilikuwepo enz na enzi.
Na wewe unaesema wanawakanyagia dada zenu..we ni ------- ama ??au na nyie ni wale wale wa kudandia nguruwe na mbuzi.

wanafiki hao hawana lolote wasikuumize kichwa.....
 
Misukule ya Ruge utawajua tu,hii show lazima ibume kwa7bu Ruge ni tapeli na magumashi kama matapeli wengine,wamebakiza mwaka m1 tu kuleta figisu figisu kwa kutumia mgongo wa mkulu.

lazima watakuwa wamekufanya kitu kibaya sio bure.....kama huna time nao chuki za nini???waache waendelee na misukule yao..... stop hating bro
 
Sio uongo. Watz ni starehe tuu. Tukiambiwa katiba yetu imechakachuliwa na wahuni hakuna anayejua wala kujali. Majambazi ya CCM yanatupumbaza kwa pombe, ngono, udaku na maombi ya kipuuzi ya amani huku nyuma yenyewe yanabaka nchi mbele na nyuma

kati ya watu 40m ni wangapi wanaenda kwenye hio fiesta?? waacheni vijana wawe vijana....maisha hayasimami na mafupi.
 
wanafiki hao hawana lolote wasikuumize kichwa.....

Kuna kitu huwa kinanipa raha sana ktk mitandao ya kijamii hasa Jf....huwa tunatumia ID tunazozitambua ss wenyewe tu,so kua mbea,mnafiku,muongo,mchekeshaji,mwenyebusara,chuki,heshima..n:k ni ruksa tu.
 
wale wanaoenda kumuona T.I kesho kwenye Fiesta, kuna Terms and Conditions wameandika kwenye tiketi zao.
Hivyo ni vema ukazijua kabla ya kwenda ili ikitokea bahati mbaya majanga usije kuwalalamikia.
Kwenye tiketi wameweka nyuma kwa herufi ndogo

1. The organiser and its agents shall not be liable for any loss, injury or damage within the premises

2. In the event of the concert cancellation due to rain, the event organisers will not be liable for any refunds on ticket



hizo ndo za muhimu sana nilizoziona ambazo lazima ujue, japo kuna nyingine pia wameweka

unashangaa hio nenda kwenye hotel 5 za star hapa bongo ukifika kwenye parking unakutana na 'PARKING AT YOUR OWN RISK, THE MANAGEMENT WILL NOT BE LIABLE FOR ANY LOSS OR DAMAGE OF YOUR PROPERTIES' wakati kwetu uswahilini bar wametuwekea wamasai wanaangalia usalama.
 
Back
Top Bottom