Kwa wadada tu

Kwa wadada tu

barcelonaa

Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
11
Reaction score
1
Hivi dada zetu pale umwonapo mwanaume amekuvutia huwa mnafanya nini kuashiria umevutiwa nae mfano kwenye usafiri wa uuma na nk.


Mimi nikimwona mtoto kanivutia huwa na smile na kumwangalia sana.
 
972682_Single_jpge453815c7820213e99d02a5f87f74db5
 
kama 2po kwenye usafiri i think naweza nkajaribu kuongea naye stor za hapa na pale kama akivutiwa i know he will ask 4 my number na kama yuko single na amevutiwa lazima atanitafuta ..
(ni maoni tu)
 
anakuangalia alaf mkigonganisha macho anaangalia chini huku akitabasamu

hiyo ilikua enzi zetu ...

siku hizi

anakuangalia alafu anakuambia "mambo" huku anatabasamu... sasa we ukijibu "poa" alaf huendelezi mazungumzo, ujue WEWE NI KIAZI
 
kama 2po kwenye usafiri i think naweza nkajaribu kuongea naye stor za hapa na pale kama akivutiwa i know he will ask 4 my number na kama yuko single na amevutiwa lazima atanitafuta ..
(ni maoni tu)

Umenkumbusha mwaka juzi nilikuwa naenda lushoto,basi kwenye basi nadhani la Jeingata nilipanda na dada mmoja mkaliz sana na kakamilika kila idara,tulikuwa tumekaa siti tofauti basi ile kumwongelesha akawa anazingua kana kwamba aniju nikapotezea.

Tulipofika mombo jamaa alokaa nae siti moja akashuka basi nikashukuru kimoyo moyo zali limeniangukia,nikahamia siti yake na kuanza kumzingua akaleta nyodo nkaona isiwe tabu.

Tulipoanza kupanda ile milima ya Usambara naona mtu anaanza niongelesha na kunisogelea mara ananikumbatia,kumbe muoga wa milima na kona zile nami kwa uso wa mbuzi nikahama siti.
 
umenkumbusha mwaka juzi nilikuwa naenda lushoto,basi kwenye basi nadhani la jeingata nilipanda na dada mmoja mkaliz sana na kakamilika kila idara,tulikuwa tumekaa siti tofauti basi ile kumwongelesha akawa anazingua kana kwamba aniju nikapotezea.

Tulipofika mombo jamaa alokaa nae siti moja akashuka basi nikashukuru kimoyo moyo zali limeniangukia,nikahamia siti yake na kuanza kumzingua akaleta nyodo nkaona isiwe tabu.

Tulipoanza kupanda ile milima ya usambara naona mtu anaanza niongelesha na kunisogelea mara ananikumbatia,kumbe muoga wa milima na kona zile nami kwa uso wa mbuzi nikahama siti.
labda aliona aibu kukuchangamkia haraka c unajua kuna aibu za kike
 
mi ntajitahidi kumuangalia na kumchekea ikiwezekana,na km namba nnayo basi ntakuwa na mcheck,
na km namuona mara kwa mara basi will make sure napendeza all the time and smelling good....na pia wl try kumtega ili tu aelewe nataka his attention....
 
Mi huwa siitendei kosa nafsi yangu asee
mara smile mara kumcheki nini kusmile
namuambia tu kuwa amenivutia.....

huku unang'ata lipsi, vidole na vikucha midomoni nini, kiti hakikaliki, jicho kungwi kungwi qudadeki!!!!!

mwanamke umleavyo...
 
huku unang'ata lipsi, vidole na vikucha midomoni nini, kiti hakikaliki, jicho kungwi kungwi qudadeki!!!!!

mwanamke umleavyo...
Mie sing'ati kitu, atang'ata huyo ninaemtolea yangu ya moyoni....
 
Back
Top Bottom