Hata wewe jamani?...mbona nakuonaga kama una huruma!..lol
Mmmh...mie huwa sitoi kitumbua changu hovyo..,ngoja wenye ujuzi waje watiririke!! Lol
pacha na we umemuanzia nini bosss wangu tena!lol
ah mi nna maslahi hapa bana!
af na nyie wakina kaka hebuacheni K B K B K B!
ni kweli SnowBall nimefundishwa huruma nimefundishwa kusamehe nina huruma sana lakini ukweli ni kwamba walimwengu wengi hawana huruma.
Sasa ulivyonimwagia radhi hapa ukumbini unadhani nitaonekanaje?..halaf hata viwalo vyangu eti unayaita 'matambara' kuna haja pacha wangu aje aone jinsi mtu mzima ninavoaibishwa hapa...lol
Khabari ndo hyo shoga angu.
Afu ukute mwanaume mwenyewe Ana KIBAMIAAA.....!!!!!
Tamkimbizaje,tasahau Chupi kitandani.
ahahhahahhahhahhaahha mi na weye hatudhuriani bana!na huyo uliyempa vindonge vyake akameze akateme ni pacha wangu!mtoto wa kiume wa mama yangu!
Sasa tafanyaje shost nae kaingia anga zangu?
Na nyie wanaume mmezidi ubahili.
Unalala kwangu,
unakula kwangu,
tunatoka Out hata bill hulipi,
Nyapi nakupa bure halafu hata sh kumi usinipe?
Sepaaa,
kuna midume kibao inanitaka.
Yani mwanaume kama huyo namshikia kipaza sauti na dunia nzima itamjua.
Afu wanaume dizaini hyo,wanatakaga bao kuanzia tano na kuendelea,si anajua nyapi ya bure ipo.
Endelea kuwa na huruma tu mamaangu...Ila kwenye huu uzi ndo naona wanawake wasivyotaka utani kwenye HELA...yaani kila mdada anasupport jamaa afurumushwe..lakini mbona mleta uzi kasema ni BF wake tu..sijui ingekuwa MUMEWE mngesemaje!! na anasema eti huyo Jamaa ANAMPENDA sana...kwa nini hamjiulizi huo UPENDO huyu mdada ameupimaje???..
Kumbe unapenda bwaku eehh!!.
mie namwombea msamaha!ataanza kulia bure hapa pama lisikae hilo!lol
Hapo nilipobold ndo mnakoseaga tu...ukitaka ujue uzuri wa kazi acha KAZI!!
Heheee
ila shoga angu hebu kuwa muwazi.
Mwanaume wa dezo unamtaka?