HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,569
hata hujiulizi huyu mtu anakula nn? kapendezeshwa na nanani unachomeka tu hata hujui sabuni ya kujitawa**** natoa wapi chapa malapa kuleeeeeeeeeeeee
Kwa hiyo mwanamke ukipata BF cha kwanza kufikiria ni huduma? Kumbe ndo maana vijana wa siku hizi wanakimbia hawataki kuoa na baadhi yenu mnadabaki manung'aembe!
Samahani kuchangia tena, Nilikuwa nimelogg-off nivea kanirudisha, LOL!
Last edited by a moderator: