Kwani wewe huhusiki bibie??Wadada wa mikoani mnaotumiwa nauli na vijana wa dar mnaitwa huku
Kwani wewe huhusiki bibie??Wadada wa mikoani mnaotumiwa nauli na vijana wa dar mnaitwa huku
Sihusiki mpendwaKwani wewe huhusiki bibie??
Mbona unaitapeli kama ni ndogo EtiNauli yenyewe ya basi ndio uje kulia lia hapa?
Vitu vingine ni aibu kuongea mbele za watu.
Mm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.
ha ha ha pengine ukumpa mambo vzr yaani akuuelewa mzigo ungempa vzr wala asingekuangushaMm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.
Nilishawahi Mara moja Fanya upuuzi wa kwenda na ndege dar kwa nauli yangu nikarudi na basi iliniuma na hiyo ilikuwa ni upuuzi wangu kumjali MTU asiekuwa na Maana ikabidi nijinyime nimsaidie yeye. iliniuma sitosahau na haitojirudia.
eti nimfate mwanaume dar kwa basi afu nilale njiani??
BTW hiyo ya basi nikitumiwa kasema asante yesu, nahemea vyakula ndani natulia.
Mm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.
Nilishawahi Mara moja Fanya upuuzi wa kwenda na ndege dar kwa nauli yangu nikarudi na basi iliniuma na hiyo ilikuwa ni upuuzi wangu kumjali MTU asiekuwa na Maana ikabidi nijinyime nimsaidie yeye. iliniuma sitosahau na haitojirudia.
eti nimfate mwanaume dar kwa basi afu nilale njiani??
BTW hiyo ya basi nikitumiwa kasema asante yesu, nahemea vyakula ndani natulia.
"Nahemea"...kanda ya ziwa tuMm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.
Nilishawahi Mara moja Fanya upuuzi wa kwenda na ndege dar kwa nauli yangu nikarudi na basi iliniuma na hiyo ilikuwa ni upuuzi wangu kumjali MTU asiekuwa na Maana ikabidi nijinyime nimsaidie yeye. iliniuma sitosahau na haitojirudia.
eti nimfate mwanaume dar kwa basi afu nilale njiani??
BTW hiyo ya basi nikitumiwa kasema asante yesu, nahemea vyakula ndani natulia.
Wewe wa dasilamu sio??Sihusiki mpendwa
Mulemule kakaaa,,hilo neno nimelikuta kanda ya ziwa tu Mkuu,,"Nahemea"...kanda ya ziwa tu
United Fan