Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Sidhani kama CCM watakaa kimya, wakati Sumaye 'mpinzani' wao kaongea, tena kawalima.
Naamini hoja za UVCCM zilikuwa kama kimbwa kidogo kimetumwa kuchokoza mbwa mgeni, mbwa mgeni aking'ate, then, mijibwa mikubwa ipate sababu ya kumrarua mbwa mgeni. Sumaye kaingia mkenge, kang'ata haka kambwa kadogo. Mijibwa mikubwa inakoki sasa kummaliza..
Walisemwa wa kaskazini, kukawa kimya. Wamesemwa wa Pwani, tusuburie vishindo...
Sasa ni nani ataongoza mijibwa mikubwa ... Makamba, Chiligati, Tambwe (hana nguvu), au Mwenyekigoda kabisa?
Wachambuzi wa siasa, hebu predictini hapa, ili yakishatokea msianze kusema ooh, mi nilijua. Hebu semeni mnachokijua leo leo...
Naamini hoja za UVCCM zilikuwa kama kimbwa kidogo kimetumwa kuchokoza mbwa mgeni, mbwa mgeni aking'ate, then, mijibwa mikubwa ipate sababu ya kumrarua mbwa mgeni. Sumaye kaingia mkenge, kang'ata haka kambwa kadogo. Mijibwa mikubwa inakoki sasa kummaliza..
Walisemwa wa kaskazini, kukawa kimya. Wamesemwa wa Pwani, tusuburie vishindo...
Sasa ni nani ataongoza mijibwa mikubwa ... Makamba, Chiligati, Tambwe (hana nguvu), au Mwenyekigoda kabisa?
Wachambuzi wa siasa, hebu predictini hapa, ili yakishatokea msianze kusema ooh, mi nilijua. Hebu semeni mnachokijua leo leo...