FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Yaani ni dhahiri kabisa wapi tunakwama..
Tunakwama sana yaani, unakuta mtu anaacha mambo kama haya nchi kavu anayapeleka bahariniWahandisi wetu hadi leo bado wanahangaika kugundua majiko ya kutumia Mkaa Mchache😂😂😂