Kwa uteuzi huu wa DC Longido, UKAWA wajiandae kupoteza Jimbo

Mkuu hivi Ubunge wa huyu bwana umefikia wapi?Je alikata rufaa kuhusu kutenguliwa kwa ushindi wake?Muendelezo vipi juu ya hii kesi?Kama una taarifa kuhusu "status" ya jambo hili naomba unijuze mkuu free freed
 
Kama hawajachimba hata kisima cha maji kwa nini wasipigwe Chini

Wapinzani wao wanajua kuandamana tu.
 
Mkuu hii si Arusha ile ya "R-Chuga" hii ni ile ya Wafugaji,ipo kuleeee mpakani na Kenya,Jamii hii ya wafugaji itawekwa sawa na wote wataelekea kibra!!Hili jimbo lina hathati kubwa sana ya kurudi CCM
TUTARUDI HAPA BAADA YA UCHAGUZI Akida MALCOM X
Mutaua tu watu lakini mumechokwa.
 
Kwa siasa za ukabila zilizoanza, Hilo jimbo wasitegemee kurudi CCM.

Kama ingekuwa kanda ya ziwa ningekusapoti ndugu mtoa mada.
 
Huyu ndio Gazeti limemtaja kuwa anajua mtambo wa kuchapisha magazeti ya Uhuru na Mzalendo umeuzwa wapi?
 
Piga kazi chongolo big up !!!.
 
UKAWA watakata rufaa Mahakama ya Rufaa na watarudishiwa JIMBO lao
Imeshindikana...Jimbo lao wamepokwa,sasa uchaguzi ndio huo unarudiwa
Hiki nilichoandika mwaka mmoja uliopita,kinaweza kutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…