Upinzani wote wataenda kule. CCM ikishinda natembea uchif
Mkuu hii si Arusha ile ya "R-Chuga" hii ni ile ya Wafugaji,ipo kuleeee mpakani na Kenya,Jamii hii ya wafugaji itawekwa sawa na wote wataelekea kibra!!Hili jimbo lina hathati kubwa sana ya kurudi CCM
TUTARUDI HAPA BAADA YA UCHAGUZI Akida MALCOM X
Walishindwa kuwaweka sawa kwenye uchaguzi wa mwaka jana wataweza sasa? Unakumbuka lowassa pamoja na umaarufu wake alivyochemsha arumeru mashariki alipojaribu kumkampenia mkwe wake sioi sumari dhidi ya Joshua nassarri? Kiufupi watu wa Arusha hawataki rangi ya kijani kabisa, na wanapiga kura za hasira kuhakikisha hawashindi! Hivi Arusha CCM ina wabunge wangapi sasa?f
Mkuu hii si Arusha ile ya "R-Chuga" hii ni ile ya Wafugaji,ipo kuleeee mpakani na Kenya,Jamii hii ya wafugaji itawekwa sawa na wote wataelekea kibra!!Hili jimbo lina hathati kubwa sana ya kurudi CCM
TUTARUDI HAPA BAADA YA UCHAGUZI Akida MALCOM X
anadhan huko ni wazaramo Wa midundikoHiyo ni Arusha mkuu,sio Pwani
Chato kwenyewe ukifanyika uchaguzi wa marudio sasa CCM lazima wakae!Kwanza mwandishi ni muongo sana hasa kwenye para ya mwisho eti alimwaga Nasari....nimkukumbushe tu huku longido sio chato ......ccm mtapigwa vibaya sana
Hahaaaa nashangaa. Jana huku longido mahakama ilivyotangaza tu kuvuliwa kwa mbunge ......watu huku wanasema tarehe ya uchaguz itangazwe. ..ili wainyoshe ccm......Chato kwenyewe ukifanyika uchaguzi wa marudio sasa CCM lazima wakae!
Unakwisha wewe, cdm inasonga mbele, kuendeleza mapambano dhidi ya haki za binadamu, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa bunge, haki za vyama vya siasa, n.kKwisha chadema na tabaka lakeeee