GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,568
- 108,910
Kutokana na Usajili wanaoufanya sasa ambao 'Kitaalam' na 'Kiufundi' ni wa Kipumbavu (Kipopma) ukiachilia mbali ni wa Kimasikini pia, Mabingwa wa Kutochukua Kikombe chochote ndani ya Miaka Mitatu Yanga SC tayari wameanza Kututambulisha 'Kisiri' Makocha wao wapya ambao nahisi watakuwa ni hawa Wawili wafuatao...
Kocha Mkuu
Wakili Msomi Simon (Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga SC)
Kocha Msaidizi
Injinia Hersi (Bosi Mwakilishi kutoka GSM)
Endeleeni tu Kusajili 'Kipuuzi' hivyo bila kuwepo kwa Kocha Mkuu au kupata Ushauri, kisha Ligi ikianza Simba SC ikiwa Bingwa mseme imenunua.
Kocha Mkuu
Wakili Msomi Simon (Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga SC)
Kocha Msaidizi
Injinia Hersi (Bosi Mwakilishi kutoka GSM)
Endeleeni tu Kusajili 'Kipuuzi' hivyo bila kuwepo kwa Kocha Mkuu au kupata Ushauri, kisha Ligi ikianza Simba SC ikiwa Bingwa mseme imenunua.