Kwa urafiki huu, hapana nimeshindwa

Kwa urafiki huu, hapana nimeshindwa

bartenderznz

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2016
Posts
398
Reaction score
195
Ni mrembo zaidi yangu,tajiri kuliko mimi,kiufupi ni ''born town''kitambo.
Nimeshindwa kustahamili na hii tabia yake ya mjini,wanaume aliyonitambulisha ni wapenzi wake ni zaidi ya wanne,sim zinapigwa usiku kucha,sms ndo usiseme kama vua za masika.
Kibaya zaidi chumba chenyewe ni kimoja,kitanda kimoja,mara kaingia huyu mara yule.Nimekuwa mlinzi kwa saa 20 kwa siku.Hapana kwa tabia hii ya rafiki yangu mji umenishinda wacha nirudi kijijini nikajipange upya.
 
Kama shida ni chumba na wewe si upange chako ili uondokane na kero izo
Au amia kwangu uwe ata unanioshea vyombo
 
Acha kumuonea wivu mwenzio.Kubali kataa anakuzid uzuri
 
Pole sana hebu nifanyie mpango niwe mpenzi wa tano, nakuahidi nitamtuliza na hao wengine atawapiga chini na usumbufu hutouona tena.
 
1469343820169.jpg
 
Hutopata mwanaume wa kwako peke yako tanzania hii labda kuzimu
 
Drop your ego, its an unnecessary load you are
carrying on yourself, instead have self respect !
Value yourself !!
 
Sasa si utafte chumba chako mwenyewe?? Hhuyo anafanya hivyo kwa gia ya kukufukuzà
 
biashara isiyo na mtaji hiyo bangaiza kapange chumba chako hiyo michezo inaelekea ndo inayomuweka mjini
 
Bora urudi korero mpendwa. Fungu lako bado lakin likifika punde tu utafurahia, achana na hilo "Paka la bar"
 
Teh Teh tatizo hujiongezi.... Watu Wa mkoani hamuwawezi Hawa wadada Wa mjini
 
Back
Top Bottom