Beautifulgirl
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 300
- 265
Nmejaribu kufanya reseach zangu kwa muda mrefu katika nchi yangu shamba la bibi kwa mda mrefu na kugundua viongozi wetu ni wanafiki na waongo wa kutupwa hizi ni baadhi ya kauli zao katika kudhirisha unafki na kujipendekeza.
1. Ukiwa na vyerehani 4 tayari nawewe una kiwanda
2. Natembea na viwanda mfukoni uniomba tuu nunakikupa.
3. Simtambui katibu mkuu wa cuf na mtambua lipumba na sakaya.
4. Tutaajiri baaada ya kumaliza uhakiki ambao unaweza kukamilika baaada ya miaka mitano hivi.
5. Bendera zote za CHADEMA zishushwwe mpk waziri amalize ziara yake.
6. Bashite asante Mungu kwa kumleta magufuli.
7. Bodoboda waandamana kumpongeza guma na waahidi kulipa kodi.
Mytake: Hivi viongozi wetu nani amewaroga kuishi kinafki na kujipendekeza.?
Kuna mwenyekiti mmoja tume ya Uchaguzi naye amekuwa msemaji hivi tanzania kuna vyuo maalum kwa sababu ya kusomea unafiki embu muangalie huyo spika wao mpaka magamba kwa ajili ya unafiki.
1. Ukiwa na vyerehani 4 tayari nawewe una kiwanda
2. Natembea na viwanda mfukoni uniomba tuu nunakikupa.
3. Simtambui katibu mkuu wa cuf na mtambua lipumba na sakaya.
4. Tutaajiri baaada ya kumaliza uhakiki ambao unaweza kukamilika baaada ya miaka mitano hivi.
5. Bendera zote za CHADEMA zishushwwe mpk waziri amalize ziara yake.
6. Bashite asante Mungu kwa kumleta magufuli.
7. Bodoboda waandamana kumpongeza guma na waahidi kulipa kodi.
Mytake: Hivi viongozi wetu nani amewaroga kuishi kinafki na kujipendekeza.?
Kuna mwenyekiti mmoja tume ya Uchaguzi naye amekuwa msemaji hivi tanzania kuna vyuo maalum kwa sababu ya kusomea unafiki embu muangalie huyo spika wao mpaka magamba kwa ajili ya unafiki.