Kwa ufupi amekiri kwamba yeye ndio aliagiza watu wauwawe kikatili na pia HAJALI kwasababu aliona wanastahili kufa

Kwa ufupi amekiri kwamba yeye ndio aliagiza watu wauwawe kikatili na pia HAJALI kwasababu aliona wanastahili kufa

LEO AMEWATUKANA WATANZANIA KWAMBA SISI TUNATAFUTA HELA YA KULA TU 😭 HII NI INDICARTOR YA UMASKINIIII ULIOKITHIRI TANZANIA HALAFU WAZEE WANAPIGA MAKOFIIII😭 .HIVI SISI TUNALAANA??
 
Inavyo onekana hajawahi kufiwa na mtu wake wa karibu. Siku akifiwa na mtoto wake wa kumzaa, ndipo atakapokuja kuona uchungu wake.
 
Huyo manyonyo hana akili.
Ila ipo siku zitamkaa sawa tu pale vijana watakapo mchomoa kwenye kalavati kajikunja kama kitoto cha nyau.

Kwani watawala wangapi walishupaza shingo, wakaziba masikio kwa nta kisa madaraka ya kulevya?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom