Kwa ufaulu huu aende kozi gani?

Kwa ufaulu huu aende kozi gani?

boss mlete shuleni kwangu IBRA HIGH SCHOOL..Atasoma comb yeyote (ispokuwa zenye maths) tunabeba dhamana ya kumfikisha kwenye ndoto zake
 
Kwan hajachaguliwa f5 au chuo cha gvt? Km hajachaguliwa mpeleke pvt akasome PCB au CBG, but akakaze buti haswaaaah.
 
Back
Top Bottom