digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,896
- 14,358
- Thread starter
- #121
Wee mama nadhani ume vocalize ndo maana huelewi ni kipi uchangiedont panic , ujinga na upumbavu havitengani sana usiving'ang'anie kwa nguvu vitakutawala
Wee mama nadhani ume vocalize ndo maana huelewi ni kipi uchangiedont panic , ujinga na upumbavu havitengani sana usiving'ang'anie kwa nguvu vitakutawala
Wewe!Nani amekuuliza?
Akili ndogo ni kama yako(Mataga)Kwa hiyo kwa akili yako dhaifu Nyerere aliyewaita wazungu Mabeberu, kuwa ana akili ndogo?
Rudi tena lete propaganda nyingine, maana hii hata imegoma kabsaWakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.
Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.
Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.
Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.
Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.
Poleni sana mkuu, nasikia sasa hivi zile buku 7 hazitoki tena, je ni kweli au wadau wanawazushia?Sina muda wa kujipendekeza kwa kibaraka wa wazungu,kazi niliyonayo inanitosha,ukumbuke kuwa Lissu kuwa rais labda jua libadili uelekeo,liwe linachomoza toka kusini kwenda kaskazini
Kumbe Magu amekuwa ,is nani anayepokea misaada toka kwa mabeberu kuanzia hela aTunasubiri tarehe 28/10/2020 kwa hamu sana ili tumchinjie baharini msaliti Lissu ili arudi kwao Ubelgiji.
Hii kauli yake inaonyesha kuwa anautaka uraisi kwa manufaa yake. Ni ubinafsi wa hali ya juu kabisa.
Jiwe anaogopa mdahalo vibaya mno, anajijua kuwa hana uwezo wa kujenga hoja. Baada ya uchaguzi huu jiwe litarudishwa kwao kuchunga ng'ombe, bahati yake Mh Lissu kasema hatolipa kisasi lakini uchunguzi wa manunuzi ya ndege lazima ufanyikeJPM hawezi kufanya midahalo na mtu mwenye faili milembe,utakuwa ni kumdhalilisha rais mteule
Jiwe akipata hata 30% ya kura halali nahama nchiTulia dawa ikuingieni,tunamnyoa mgombea wa CHADEMA upaa kwa kuitumia vipande vya chupa.
Lini na wapi?Wewe!
LiniLini?
Huna akili ya kuweza kuambulia!Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.
Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.
Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.
Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.
Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.
Mkuu mradi wanini tena wakati wewe ni Lumumba fc (Mataga)CHADEMA maisha yenu magumu,kama mtu unafikikisha 25+ bado unawaza chai ujue kunasehemu unakwama,mimi kwa umri wangu sio mtu wa kuwaza chai tena,nawaza nifungue miradi gani itakayonipatia pesa zaidi
Wapi?Lini
HapaWapi?
Hapa wapi?Hapa
Je wajua kuwa safari hii hatumwachii Mungu? Ukombozi wa nchi siyo lazima washiriki watu wote mana kuna wale dhaifu(wewe mataga wenzio) ambao mnasubiria kuletewa ukombozi.Kama unajali sana hisia zako na afya yako ya akili, Jitahidi ukubali Lissu hawezi kushinda. Na kama leo unaweza kuwaza Lissu anaweza kushinda jee 2015 uliamini nini? na imani yako ilikuwa kwa kiwango gani wakati wa Lowassa 2015? Pole sana.