Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 61,972
- 156,271
Wife wangu huwa hapend kabisa socks niache chini ya uvungu kabisaaaa....Hahaaa nilikuwa na huzuni toka nimeaza kusoma hii thread lkn nilipo fika kwenye kuacha soksi na sahani imebidi ni cheke tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wife wangu huwa hapend kabisa socks niache chini ya uvungu kabisaaaa....
Ahsante nimeanza kujirekebisha Mkuu ...Mara nyingi sisi wanaume tunapuuzia vitu vidogo sana kumbe kwa wenzetu(wake zetu ) ni kero kubwa ....
Hapana boss sihusiki kabisa .Sawa Afisa Uchagizi. Wanao watakukumbuka kwa wema ila watanzania watakulaani kwa kuwateulia wagombea viti maalum badala ya kuwaacha wachague kwa uhuru wao.
***Mbire mwene Nyamwonyo***
Ni kweli alistahiki kufanya hivyo. Hili fundisho nami nililiona linatembea huko Facebook tangu mwaka jana. Japo kulileta huku sio vibaya maana lina ujumbe mzuri kwa jamii yetu.Mpe credits zake uliyemcopy basi mkuu