Nenda kituoni kachanje achana na mambo ya kuweka oda/bookingView attachment 1879489nisaidieni wkt naweka order nakutana na hii fomu
Nenda kituoni kachanje achana na mambo ya kuweka oda/booking
Kwani Jokate ana miaka 50? Si ulimuona kachanjwa?
Kwani mpendwa upo timu ipi 😀😀😀waoga wa sindano utawajua tuJojo kiongozi (katumika kama mfano)au ukute ana magonjwa sugu
Kwani mpendwa upo timu ipi 😀😀😀waoga wa sindano utawajua tu
Kachanje uwe na kinga😂😂😂😂😂😂Timu pinga pinga
Kachanje uwe na kinga
hapa ndo shida kuu iliko, mimi na sindano ni paka na panya hatupikiki chungu kimoja. Ili ni chanje lazima niende na familia nzima pamoja na mjumbe wa nyumba 10 wakanishikilie vinginevyo sichanji abadani!!!🤔🤔🤔Kwani mpendwa upo timu ipi 😀😀😀waoga wa sindano utawajua tu
Umenikumbusha enzi hizo nilikuwa nikiumwa nikiandikwa sindano napelekwa na Baba,Mama na kaka yangu na wasiponishika vizuri napindua meza kwa mateke.hapa ndo shida kuu iliko, mimi na sindano ni paka na panya hatupikiki chungu kimoja. Ili ni chanje lazima niende na familia nzima pamoja na mjumbe wa nyumba 10 wakanishikilie vinginevyo sichanji abadani!!!🤔🤔🤔