tabia kubwa walio nao walimu ni kuogopa kuthubutu, inakuwaje walimu wanashindwa kuungana watano wakachanga hata kila mwezi elfu hamsini hamsini kama kwa miezi mitano mwaka hata zaidi ili kupatamtaji afu wakafanya mradi kwa pamoja mfano mradi wa kilimo,maana serikali ishawasau....badala yake kila mwalimu yupo kivyake vyake,tufunguke walimu joint company zina faida kubwa