Kwa tabia hizi LAZIMA UOLEWE

usijidanganye kuna mtu anampa ela nzuri wewe ni wa kumliwaza tuu,eti.ajawai kukuomba hela ndo unachofuraia wake up this dig planet we know how to deal wt ur brain,kashakusoma wewe unapenda nini,be responsible kma unampenda,
 
Tembelea hostel kwao ukaone picha za birthday walivyopendeza na mupenzi wake. Wewe alikukubalia kwa kua ulikua king'ang'anizi sana.
 
Hii post iko page ya pili hawajaomba picha!!???
 
usijidanganye kuna mtu anampa ela nzuri wewe ni wa kumliwaza tuu,eti.ajawai kukuomba hela ndo unachofuraia wake up this dig planet we know how to deal wt ur brain,kashakusoma wewe unapenda nini,be responsible kma unampenda,

Nakubaliana na wewe kabisa. If you love her then be responsible
 
Tembelea hostel kwao ukaone picha za birthday walivyopendeza na mupenzi wake. Wewe alikukubalia kwa kua ulikua king'ang'anizi sana.

Hapa ndio utashangaa wanaume wasivyojua wanataka nini,wakiombwa pesa wanalalamika! Wasipoombwa wanahisi kuna wanaohudumia!!!!!
Bint anajitambua cha msingi ni wewe mkaka kuwa responsible sasa,haombi pesa lakini bado unaweza kumpelekea zawadi na hata pesa unapohisi anahitaji au hata once baada kila 3months!
Jitambueni men,sio lazima muombwe ombwe!!!!
 

Una mpango nako au ndo unasubilia uje na part 2 utuambie eti kale ka she sasaivi sikaelewi! Wakati umetuhakikishia kametulia? Jitahidi bwana usikaangushe maana kenyewe umeshatuhakikishia kanakupenda.
 
Tatizo la wategemea wazazi ukimchukua jumla atataka apewe kila kitu kama alivyokuwa anapewa na baba yake. Na ukimwambia leo hali sio nzuri anaona kama unamkatalia. Hawa huwa hawajui maisha kiundani zaidi.
 
Subiri aingie ndani ya nyumba hubadilika hao viumbe,labda asiwe mfanyakazi

Sio kweli mkuu_mama Igwe alikuwa hivyo,yuko hivyo mpaka sasa...na anafanyakazi...get it..?
 
Ha ha ha! The road is very unpredictable usichekelee kuto kuombwa hela mda mwingine kunakuwa na jibaba linakata sana zaid yako. .

Sema kingine mkuu, nina hakika kbs hana mtu anayemlea. Mabinti sijawajua jana wala leo.
 
usijidanganye kuna mtu anampa ela nzuri wewe ni wa kumliwaza tuu,eti.ajawai kukuomba hela ndo unachofuraia wake up this dig planet we know how to deal wt ur brain,kashakusoma wewe unapenda nini,be responsible kma unampenda,

It might be true lkn sio mabinti wote wako ivo, halafu mabinti sijawajua jana wala leo, nina uzoefu nao. Ningeshagundua.
 
Nakubaliana na wewe kabisa. If you love her then be responsible

Kuhusu kuhudumiwa na libaba sikubaliani na ninyi, labda hilo la kusema nijiongeze kwa kuwa responsible.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…