Ukiwa Tajiri au influential person kuna aina ya maisha unapaswa kuishi na kuna vitu hupasi kufanya kama mimi mwananchi mnyonge wa manzese kwa mfuga mbwa au wa mwananyamala kisiwani
Mh huyu amekuwa akipigwa picha akiwa kwenye usafiri wa bodaboda mara kadhaa akijaribu kuwahi mishe zake akikwepa foleni za jiji la makonda
Na inasemekana amekuwa akifanya mazoezi ya jogging pekee yake bila ya mlinzi
Kwa style hii kwann usitekwe na wenye nia ovu
Ukishakuwa billionea au mtu mashuhuri maisha yako yanatakiwa kuwa kama kuku wa kizungu ,maisha ya uhuru tuachieni sie wa temeke mikoroshini
Gwajima
Mh huyu amekuwa akipigwa picha akiwa kwenye usafiri wa bodaboda mara kadhaa akijaribu kuwahi mishe zake akikwepa foleni za jiji la makonda
Na inasemekana amekuwa akifanya mazoezi ya jogging pekee yake bila ya mlinzi
Kwa style hii kwann usitekwe na wenye nia ovu
Ukishakuwa billionea au mtu mashuhuri maisha yako yanatakiwa kuwa kama kuku wa kizungu ,maisha ya uhuru tuachieni sie wa temeke mikoroshini
Gwajima