Muwe mnatoa na efd receiptKweli kabisaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa itabidi mfungwe na EFD MACHINE!
Kweli kiongozi lazima ubalance haya mambo. Kuna wanawake wanapenda dyudyu balaa. Yeye kuto..bwa ni moja ya starehe yake kubwa bora umnyime chakulaMbona tunagonga kisela tu, sihongi kizembezembe. As long as mwanamke hata umilikishe BOT na makusanyo yote ya TRA na Bandari utagongewa tu. Wengine kugongwa hovyo ni hobi waliyozaliwa nayo.
Jamani tufanye kazi, kutegemea wanaume ilikuwa zamani.Yaani wewe na mr. wako mnafanyia ofisi moja na mnalipwa sawa bado unataka kuhongwa? wewe zako wampa nani? sikubalani na kuhongwa labda kupewa zawadi tu ambayo siyo lazima.Lakini bado nafsini mwake utabaki na nafasi
mwanamke asiyezaa hana akili akili wanazo mama zetu tuUnataka uhongwe wewe wakuvunje ukuta ndugu mleta uzi?