2500/= kwa 400MB??? sijaelewa mkuu.mbona katika zile bei zao wanasema kwa mwezi ni 75000/=.nielekeze vizuri hiyo ya 2500...
Kifurushi cha 70,000/- kinaitwa "FULLDATA" NA KIWANGO CHA DATA NI KIKUBWA KULIKO CHA 2500/- AMBACHO NI 400MB.VYOTE VIWILI NI VYA MWEZI MMOJA.