Sijawaona hadi leoo mkuuSubir watakuja wenye kujua
Yeah niliona madaba,nilishangaa kupata tangawizi kifuko kizima(mifuko laini) kwa Tsh 1000,nilizoea kupata 2 kwa hiyo 1000Tangawizi nyingi sahvi ililimwa sehemu za songea na walikuwa wanategemea kuvuna kwa wingi
Ova
Sahivi wamelima kwa wingi sema soko sasaYeah niliona madaba,nilishangaa kupata tangawizi kifuko kizima(mifuko laini) kwa Tsh 1000,nilizoea kupata 2 kwa hiyo 1000
Kausha saga unga wa tangawiziKwamaeneo ya same soko la tangawizi liko wapi na bei gan?