Hakika mkuu,kuna watu kama kuteleza tuuDah kuna watu wako na talent balaaa
teh teh watu mafundiHao wazee wawili hapo wamenifurahisha
Hakika mkuuAisee! Kweli ni vipaji
teh teh kweli..shukrani kwa niabaHii ndo nimeikubali zaidi na hiyo ya mwanamke aliechongwa kwenye mti salute kwao duh..
View attachment 1544257
Kongole kwaoHii imenikosha kweli fundi stadi..View attachment 1544262
Hakika mkuuHuyu kijana alietengeneza mbuzi anajua sana aise kuna watu wana vipaj sana
Nilidhani mbuzi halisi, kama jamaa anawapaka rangi vile! Lahaulaaa!Huyu kijana alietengeneza mbuzi anajua sana aise kuna watu wana vipaj sana
Vipaji hivyoNilidhani mbuzi halisi, kama jamaa anawapaka rangi vile! Lahaulaaa!
Nilidhani mbuzi halisi, kama jamaa anawapaka rangi vile! Lahaulaaa!
hakikaYupo vizur sana kama mbuzi halisi kbs
Yaani! Nilipigwa bumbuwazi kabisa!Yupo vizur sana kama mbuzi halisi kbs