Kwa nini watu wanapenda simu za Samsung?

Kwa nini watu wanapenda simu za Samsung?

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
5,896
Reaction score
11,792
gsmarena_007.jpg
Sure situmii Samsung na wala sio kampuni namba moja ya simu kwenye moyo wangu, ila ukitoa kampuni ya simu ninayoipenda kuliko zote, basi Samsung ndio inafuatia moyoni mwangu
gsmarena_001 (2).jpg

Kuna sababu nyingi sana, licha ya kuwa midrange za Samsung hazitumii sana zile strongest processor ukifananisha na simu za Kichina ila bado kuna sababu nyingi kwa nini watu wanapenda sana Samsung na leo nitakuambia kwa nini hizi simu ni kipenzi cha wengi
gsmarena_001 (1).jpg

Na inapokuja suala la flagship, hakuna kama Samsung. Simu zao ni 99% perfect
gsmarena_001.jpg

Zifuatazo ni sababu kwa nini Samsung ni kipenzi cha wengi

1. Samsung zinatoa software update miaka mingi sana
Screenshot_2025-07-02-19-41-04-177_com.google.android.googlequicksearchbox.png

Samsung hutoa update za muda mrefu sana hadi miaka saba. Chukua tu mfano Samsung Galaxy A16 ambayo hapa Mbeya inauzwa 365,000/= ila inapata update kwa 6 years, midrange nazo kama Galaxy A36 zinakuja na Android 15 na inapata updates hadi 7 years later. Angalia competition yake, hiyo A36 inashindana na Redmi Note 14 Pro+ ila Redmi Note 14 Pro+ inakuja na Android 14 ambayo tayari iko mwaka mmoja nyuma na inapata only 3 years of OS updates kwa hiyo mwisho ni Android 17, ila A36 itaenda hadi Android 22

2. Simu za Samsung zina design nzuri sana
gsmarena_003.jpg

Simu nyingi za Samsung zina design nzuri na simple tu. Kwa mfano ukiangalia sasahivi makampuni ya Kichina yanaweka kamera za maduara makubwa nyuma ya simu zao ili waweze kufit sensor kubwa na features zao nyingine ila ukiiangalia Samsung Galaxy S25 Ultra design yake ni simple tu, kamera 3 kubwa na ndogo mbili wamemaliza. Hawajazizungushia wala nini

3. Goodlock

View: https://youtu.be/ECOvFJMIsNk?si=e9ZREKAfYQVHeN0z
Hiki kitu wengi hawajui ila app ya Goodlock inaweza kubadilisha kila kitu kwenye simu yako ya Samsung na inapatikana Galaxy Store kwa watumiaji wa Samsung pekee
Goodlock inaweza kubadili style za Recent apps, inabadili style ya Soundbar, inabadili rangi za wallpaper, clockstyle, jinsi ya ku customize app drawer. Yani unabadili kila kitu humu, ukitaka sound bar unaifanya iwe ya duara, ndefu, au nyembamba ushindwe wewe tu.
Angalia video hiyo hapo juu kuhusu kila unachopaswa kujua kuhusu Goodlock

4. Simu za Samsung zimekamikika kila kona
gsmarena_002.jpg

Mona ya sifa ya simu za Samsung ni kwamba huwa zimekamilika kila kona. Mfano hizi S25 series unakuta zinatunza sana chaji, zina performance kubwa na hazi overheat, zina kamera kali zote ya mbele na ya nyuma, zina design nzuri, zina speaker nzuri, zina software nzuri na zinapokea updates hadi miaka 7, zina best AI ever kwenye simu, zina software nzuri sana yenye features nyingi, na bonus nyingine kuwa simu za Android kwa hiyo hakuna limitation za kijinga kijinga kama za iPhone. Bado zinaongeza kitu ambacho kampuni nyingine hawakupi mfano "Samsung DeX". Feature hii unapata kwenye Samsung tu, labda na Motorola. Kwenye Motorola inaitwa Smart Connect (zamani ilikuwa inaitwa "Ready for". Hata hivyo Smart Connect sio nzuri kama Samsung DeX. Na ukiondoa Motorola hamna kampuni nyingine yenye hii feature, isipokuwa Samsung tu. Na bado kuna app ya Goodlock ambayo inakupa extended customisation ambazo zitablow your mind, na mpaka sasa hakuna kampuni nyingine yenye app kama Goodlock
Pia flagship za Samsung (Ultra series) zinakuja na S pen, ni stylus pen ambayo ni useful kwenye activities nyingi sana
Ukitaka kujua Samsung DeX ni nini pitia hapa

5. Simu za Samsung zina features nyingi sana kwenye software up

View: https://youtu.be/U3pEoy3dIt8?si=j7Vyiqa4ZafU9F3S
Angalia hiyo video, Samsung ina feature nyingi sana

6. Samsung in apps nzuri sana
Screenshot_2025-07-02-21-10-26-348_com.google.android.googlequicksearchbox.png

Ni nani mwingine amegundua kuwa watu wanalalamikia wana bloatware kwenye simu za Kichina ila hawalalamikii kwenye Samsung? Sababu ni kwamba bloatware za Kichina ni useless na sio nzuri kama za Samsung
Za Samsung ni useful na ni nzuri mfano Samsung Messages na Samsung Dialer ni application nzuri sana kwa ajili ya kuoiga simu na kutuma message
Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba Samsung video player app inasupport kucast video kwenye original aspect ratio yake ili ichukue nafasi kubwa iwezavyo kwenye TV tofauti na video Player nyingine ambazo zinacast tu shape ya simu, unakuta kama video haijai kwenye simu na kwenye TV haijai hivyo hivyo, haziwezi ku take advantage ya screen kubwa ya TV na aspect ratio yake. Video player ya Samsung inaweza kufanya hivyo na ukiondoa video player ya Samsung video player nyingine asilimia kubwa haziwezi. Video player nyingine ninayoijua inaweza kufanya hivyo ni VLC tu, ila hizi KM Player, MX Player, U Player, sijui Mi Video zote chenga tu inapokuja suala la ku cast, hususani video ambazo sio 21:9

6. Samsung zipo available kila kona duniani
gsmarena_010.jpg

Kila kona Samsung zinapatikana. Haijalishi upo Marekani au upo Togo, sijui Uganda Samsung ni rahisi kuzipata. Hii ni tofauti sana na simu za Kichina mfano Oppo au vivi unakuta hapa Bongo zipo zile mbaya mbaya tu na ukipata nzuri basi ni used au bei wanakuchapa. Unaweza kuzunguka Tanzania nzima usipate vivo V30 ila ukiambiwa utafute Samsung Galaxy A36, Mungu wangu hadi Kibaigwa unazikuta full box kabisa 😅😅

7. Flagship za Samsung zina vioo vizuri sana
gsmarena_111.jpg

Umeona hicho kioo kilivyo cheusi, hiyo ni S25 Ultra.
Flagship za Samsung zina vioo vizuri sana. Vina mwanga mkali, vinadisplay rangi nzuri, vigumu, imara na vyeusi sana hata mbele ya macho vinavutia. Sure hata ukichukua vioo vya Xiaomi 15 Ultra, vivo X200 Ultra navyo ni vyeusi sana ila ukifananisha na kioo cha Samsung Galaxy S25 Ultra utaona cha Samsung ni cheusi zaidi.

Mwisho wa siku nunua simu unayoipenda. Mimi napenda sana Xiaomi. Wewe unapenda simu gani?
 
Namba 7 (kioo) ndio pigo la Samsung kwa wapinzani wake. Samsung display iko very smooth, we chukua hata a15 uone balaa lake.

Samsung ina feature nyingi, yaani inakupa kila kitu ambacho mteja anakitaka. Udambwidambwi umejaa saana Samsung.

Usitamani kuishika S21-25 Ultra ambazo zimekuja na kioo ORIGINAL kutoka Samsung. Aiseee unaweza tamani ukimbie na hiyo.
 
View attachment 3391756Sure situmii Samsung na wala sio kampuni namba moja ya simu kwenye moyo wangu, ila ukitoa kampuni ya simu ninayoipenda kuliko zote, basi Samsung ndio inafuatia moyoni mwangu
View attachment 3391753
Kuna sababu nyingi sana, licha ya kuwa midrange za Samsung hazitumii sana zile strongest processor ukifananisha na simu za Kichina ila bado kuna sababu nyingi kwa nini watu wanapenda sana Samsung na leo nitakuambia kwa nini hizi simu ni kipenzi cha wengi
View attachment 3391758
Na inapokuja suala la flagship, hakuna kama Samsung. Simu zao ni 99% perfect
View attachment 3391625
Zifuatazo ni sababu kwa nini Samsung ni kipenzi cha wengi

1. Samsung zinatoa software update miaka mingi sanaView attachment 3391634
Samsung hutoa update za muda mrefu sana hadi miaka saba. Chukua tu mfano Samsung Galaxy A16 ambayo hapa Mbeya inauzwa 365,000/= ila inapata update kwa 6 years, midrange nazo kama Galaxy A36 zinakuja na Android 15 na inapata updates hadi 7 years later. Angalia competition yake, hiyo A36 inashindana na Redmi Note 14 Pro+ ila Redmi Note 14 Pro+ inakuja na Android 14 ambayo tayari iko mwaka mmoja nyuma na inapata only 3 years of OS updates kwa hiyo mwisho ni Android 17, ila A36 itaenda hadi Android 22

2. Simu za Samsung zina design nzuri sanaView attachment 3391635
Simu nyingi za Samsung zina design nzuri na simple tu. Kwa mfano ukiangalia sasahivi makampuni ya Kichina yanaweka kamera za maduara makubwa nyuma ya simu zao ili waweze kufit sensor kubwa na features zao nyingine ila ukiiangalia Samsung Galaxy S25 Ultra design yake ni simple tu, kamera 3 kubwa na ndogo mbili wamemaliza. Hawajazizungushia wala nini

3. Goodlock

View: https://youtu.be/ECOvFJMIsNk?si=e9ZREKAfYQVHeN0z
Hiki kitu wengi hawajui ila app ya Goodlock inaweza kubadilisha kila kitu kwenye simu yako ya Samsung na inapatikana Galaxy Store kwa watumiaji wa Samsung pekee
Goodlock inaweza kubadili style za Recent apps, inabadili style ya Soundbar, inabadili rangi za wallpaper, clockstyle, jinsi ya ku customize app drawer. Yani unabadili kila kitu humu, ukitaka sound bar unaifanya iwe ya duara, ndefu, au nyembamba ushindwe wewe tu.
Angalia video hiyo hapo juu kuhusu kila unachopaswa kujua kuhusu Goodlock

4. Simu za Samsung zimekamikika kila konaView attachment 3391639
Mona ya sifa ya simu za Samsung ni kwamba huwa zimekamilika kila kona. Mfano hizi S25 series unakuta zinatunza sana chaji, zina performance kubwa na hazi overheat, zina kamera kali zote ya mbele na ya nyuma, zina design nzuri, zina speaker nzuri, zina software nzuri na zinapokea updates hadi miaka 7, zina best AI ever kwenye simu, zina software nzuri sana yenye features nyingi, na bonus nyingine kuwa simu za Android kwa hiyo hakuna limitation za kijinga kijinga kama za iPhone. Bado zinaongeza kitu ambacho kampuni nyingine hawakupi mfano "Samsung DeX". Feature hii unapata kwenye Samsung tu, labda na Motorola. Kwenye Motorola inaitwa Smart Connect (zamani ilikuwa inaitwa "Ready for". Hata hivyo Smart Connect sio nzuri kama Samsung DeX. Na ukiondoa Motorola hamna kampuni nyingine yenye hii feature, isipokuwa Samsung tu. Na bado kuna app ya Goodlock ambayo inakupa extended customisation ambazo zitablow your mind, na mpaka sasa hakuna kampuni nyingine yenye app kama Goodlock
Pia flagship za Samsung (Ultra series) zinakuja na S pen, ni stylus pen ambayo ni useful kwenye activities nyingi sana
Ukitaka kujua Samsung DeX ni nini pitia hapa

5. Simu za Samsung zina features nyingi sana kwenye software up

View: https://youtu.be/U3pEoy3dIt8?si=j7Vyiqa4ZafU9F3S
Angalia hiyo video, Samsung ina feature nyingi sana

6. Samsung in apps nzuri sana
View attachment 3391721
Ni nani mwingine amegundua kuwa watu wanalalamikia wana bloatware kwenye simu za Kichina ila hawalalamikii kwenye Samsung? Sababu ni kwamba bloatware za Kichina ni useless na sio nzuri kama za Samsung
Za Samsung ni useful na ni nzuri mfano Samsung Messages na Samsung Dialer ni application nzuri sana kwa ajili ya kuoiga simu na kutuma message
Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba Samsung video player app inasupport kucast video kwenye original aspect ratio yake ili ichukue nafasi kubwa iwezavyo kwenye TV tofauti na video Player nyingine ambazo zinacast tu shape ya simu, unakuta kama video haijai kwenye simu na kwenye TV haijai hivyo hivyo, haziwezi ku take advantage ya screen kubwa ya TV na aspect ratio yake. Video player ya Samsung inaweza kufanya hivyo na ukiondoa video player ya Samsung video player nyingine asilimia kubwa haziwezi. Video player nyingine ninayoijua inaweza kufanya hivyo ni VLC tu, ila hizi KM Player, MX Player, U Player, sijui Mi Video zote chenga tu inapokuja suala la ku cast, hususani video ambazo sio 21:9

6. Samsung zipo available kila kona duniani
View attachment 3391746
Kila kona Samsung zinapatikana. Haijalishi upo Marekani au upo Togo, sijui Uganda Samsung ni rahisi kuzipata. Hii ni tofauti sana na simu za Kichina mfano Oppo au vivi unakuta hapa Bongo zipo zile mbaya mbaya tu na ukipata nzuri basi ni used au bei wanakuchapa. Unaweza kuzunguka Tanzania nzima usipate vivo V30 ila ukiambiwa utafute Samsung Galaxy A36, Mungu wangu hadi Kibaigwa unazikuta full box kabisa 😅😅

7. Flagship za Samsung zina vioo vizuri sana
View attachment 3391749
Umeona hicho kioo kilivyo cheusi, hiyo ni S25 Ultra.
Flagship za Samsung zina vioo vizuri sana. Vina mwanga mkali, vinadisplay rangi nzuri, vigumu, imara na vyeusi sana hata mbele ya macho vinavutia. Sure hata ukichukua vioo vya Xiaomi 15 Ultra, vivo X200 Ultra navyo ni vyeusi sana ila ukifananisha na kioo cha Samsung Galaxy S25 Ultra utaona cha Samsung ni cheusi zaidi.

Mwisho wa siku nunua simu unayoipenda. Mimi napenda sana Xiaomi. Wewe unapenda simu gani?

Currently unatumia xiaomi gani mkuu??
 
View attachment 3391756Sure situmii Samsung na wala sio kampuni namba moja ya simu kwenye moyo wangu, ila ukitoa kampuni ya simu ninayoipenda kuliko zote, basi Samsung ndio inafuatia moyoni mwangu
View attachment 3391753
Kuna sababu nyingi sana, licha ya kuwa midrange za Samsung hazitumii sana zile strongest processor ukifananisha na simu za Kichina ila bado kuna sababu nyingi kwa nini watu wanapenda sana Samsung na leo nitakuambia kwa nini hizi simu ni kipenzi cha wengi
View attachment 3391758
Na inapokuja suala la flagship, hakuna kama Samsung. Simu zao ni 99% perfect
View attachment 3391625
Zifuatazo ni sababu kwa nini Samsung ni kipenzi cha wengi

1. Samsung zinatoa software update miaka mingi sanaView attachment 3391634
Samsung hutoa update za muda mrefu sana hadi miaka saba. Chukua tu mfano Samsung Galaxy A16 ambayo hapa Mbeya inauzwa 365,000/= ila inapata update kwa 6 years, midrange nazo kama Galaxy A36 zinakuja na Android 15 na inapata updates hadi 7 years later. Angalia competition yake, hiyo A36 inashindana na Redmi Note 14 Pro+ ila Redmi Note 14 Pro+ inakuja na Android 14 ambayo tayari iko mwaka mmoja nyuma na inapata only 3 years of OS updates kwa hiyo mwisho ni Android 17, ila A36 itaenda hadi Android 22

2. Simu za Samsung zina design nzuri sanaView attachment 3391635
Simu nyingi za Samsung zina design nzuri na simple tu. Kwa mfano ukiangalia sasahivi makampuni ya Kichina yanaweka kamera za maduara makubwa nyuma ya simu zao ili waweze kufit sensor kubwa na features zao nyingine ila ukiiangalia Samsung Galaxy S25 Ultra design yake ni simple tu, kamera 3 kubwa na ndogo mbili wamemaliza. Hawajazizungushia wala nini

3. Goodlock

View: https://youtu.be/ECOvFJMIsNk?si=e9ZREKAfYQVHeN0z
Hiki kitu wengi hawajui ila app ya Goodlock inaweza kubadilisha kila kitu kwenye simu yako ya Samsung na inapatikana Galaxy Store kwa watumiaji wa Samsung pekee
Goodlock inaweza kubadili style za Recent apps, inabadili style ya Soundbar, inabadili rangi za wallpaper, clockstyle, jinsi ya ku customize app drawer. Yani unabadili kila kitu humu, ukitaka sound bar unaifanya iwe ya duara, ndefu, au nyembamba ushindwe wewe tu.
Angalia video hiyo hapo juu kuhusu kila unachopaswa kujua kuhusu Goodlock

4. Simu za Samsung zimekamikika kila konaView attachment 3391639
Mona ya sifa ya simu za Samsung ni kwamba huwa zimekamilika kila kona. Mfano hizi S25 series unakuta zinatunza sana chaji, zina performance kubwa na hazi overheat, zina kamera kali zote ya mbele na ya nyuma, zina design nzuri, zina speaker nzuri, zina software nzuri na zinapokea updates hadi miaka 7, zina best AI ever kwenye simu, zina software nzuri sana yenye features nyingi, na bonus nyingine kuwa simu za Android kwa hiyo hakuna limitation za kijinga kijinga kama za iPhone. Bado zinaongeza kitu ambacho kampuni nyingine hawakupi mfano "Samsung DeX". Feature hii unapata kwenye Samsung tu, labda na Motorola. Kwenye Motorola inaitwa Smart Connect (zamani ilikuwa inaitwa "Ready for". Hata hivyo Smart Connect sio nzuri kama Samsung DeX. Na ukiondoa Motorola hamna kampuni nyingine yenye hii feature, isipokuwa Samsung tu. Na bado kuna app ya Goodlock ambayo inakupa extended customisation ambazo zitablow your mind, na mpaka sasa hakuna kampuni nyingine yenye app kama Goodlock
Pia flagship za Samsung (Ultra series) zinakuja na S pen, ni stylus pen ambayo ni useful kwenye activities nyingi sana
Ukitaka kujua Samsung DeX ni nini pitia hapa

5. Simu za Samsung zina features nyingi sana kwenye software up

View: https://youtu.be/U3pEoy3dIt8?si=j7Vyiqa4ZafU9F3S
Angalia hiyo video, Samsung ina feature nyingi sana

6. Samsung in apps nzuri sana
View attachment 3391721
Ni nani mwingine amegundua kuwa watu wanalalamikia wana bloatware kwenye simu za Kichina ila hawalalamikii kwenye Samsung? Sababu ni kwamba bloatware za Kichina ni useless na sio nzuri kama za Samsung
Za Samsung ni useful na ni nzuri mfano Samsung Messages na Samsung Dialer ni application nzuri sana kwa ajili ya kuoiga simu na kutuma message
Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba Samsung video player app inasupport kucast video kwenye original aspect ratio yake ili ichukue nafasi kubwa iwezavyo kwenye TV tofauti na video Player nyingine ambazo zinacast tu shape ya simu, unakuta kama video haijai kwenye simu na kwenye TV haijai hivyo hivyo, haziwezi ku take advantage ya screen kubwa ya TV na aspect ratio yake. Video player ya Samsung inaweza kufanya hivyo na ukiondoa video player ya Samsung video player nyingine asilimia kubwa haziwezi. Video player nyingine ninayoijua inaweza kufanya hivyo ni VLC tu, ila hizi KM Player, MX Player, U Player, sijui Mi Video zote chenga tu inapokuja suala la ku cast, hususani video ambazo sio 21:9

6. Samsung zipo available kila kona duniani
View attachment 3391746
Kila kona Samsung zinapatikana. Haijalishi upo Marekani au upo Togo, sijui Uganda Samsung ni rahisi kuzipata. Hii ni tofauti sana na simu za Kichina mfano Oppo au vivi unakuta hapa Bongo zipo zile mbaya mbaya tu na ukipata nzuri basi ni used au bei wanakuchapa. Unaweza kuzunguka Tanzania nzima usipate vivo V30 ila ukiambiwa utafute Samsung Galaxy A36, Mungu wangu hadi Kibaigwa unazikuta full box kabisa 😅😅

7. Flagship za Samsung zina vioo vizuri sana
View attachment 3391749
Umeona hicho kioo kilivyo cheusi, hiyo ni S25 Ultra.
Flagship za Samsung zina vioo vizuri sana. Vina mwanga mkali, vinadisplay rangi nzuri, vigumu, imara na vyeusi sana hata mbele ya macho vinavutia. Sure hata ukichukua vioo vya Xiaomi 15 Ultra, vivo X200 Ultra navyo ni vyeusi sana ila ukifananisha na kioo cha Samsung Galaxy S25 Ultra utaona cha Samsung ni cheusi zaidi.

Mwisho wa siku nunua simu unayoipenda. Mimi napenda sana Xiaomi. Wewe unapenda simu gani?

Altenative za Samsung ni Motorola
 
Kitu kimoja nimekipitia ni uhakika wa OTG. Nimetumia MCHINA mwanzoni otg ilikuwa safi ila baada ya siku kadhaa inazingua lakini SAMSUNG A16 tangu nianze kuitumia karibu mwaka OTG haijawahi kusumbua. Samsung wana kitu.
 
Xiaomi 12T Pro
Currently Natumia Xiaomi mi 11 lite nafikiria Kuhamia Xiaomi mi 13T Pro nafata Big Screen size, Under Display optical fingerprint, Big Battery.... Storage 256/12
Nimeona Ona Sehemu Kadhaa kama Mbili hivi kwa TZ used wanasimama na around 600K.

Is it Worthy it in terms of Money na Ku upgrade??

If not, What are your suggestions all Around 500K-600K kwa kuzingatia hivi walau
Dual Sim
Screen Display 6.7+
Fingerprint Iwe under Display optical
Storage config ya 12/256
Snapdragon/mediatek dimensity tucheze humu (4 nm)
Battery walau 5000Mah+
 
Namba 7 (kioo) ndio pigo la Samsung kwa wapinzani wake. Samsung display iko very smooth, we chukua hata a15 uone balaa lake.

Samsung ina feature nyingi, yaani inakupa kila kitu ambacho mteja anakitaka. Udambwidambwi umejaa saana Samsung.

Usitamani kuishika S21-25 Ultra ambazo zimekuja na kioo ORIGINAL kutoka Samsung. Aiseee unaweza tamani ukimbie na hiyo.
Ukiondoa Iphone, Samsung haina mpinzani
 
Kama hii yangu ya kawaida tuu, A05s nimeupdate imekua android 15 ñaona imekua Bomba Sana na betri imezid kua imara, na speed ya utendaji kazi umeongezeka
 
Currently Natumia Xiaomi mi 11 lite nafikiria Kuhamia Xiaomi mi 13T Pro nafata Big Screen size, Under Display optical fingerprint, Big Battery.... Storage 256/12
Nimeona Ona Sehemu Kadhaa kama Mbili hivi kwa TZ used wanasimama na around 600K.

Is it Worthy it in terms of Money na Ku upgrade??

If not, What are your suggestions all Around 500K-600K kwa kuzingatia hivi walau
Dual Sim
Screen Display 6.7+
Fingerprint Iwe under Display optical
Storage config ya 12/256
Snapdragon/mediatek dimensity tucheze humu (4 nm)
Battery walau 5000Mah+
Kwa 600K Xiaomi 13T Pro hapa Bongo likely itakuwa ni used lakini kama ikiwa kwenye good condition, ni very worth it
Kwa bajeti ya laki 6 Xiaomi 13T Pro ni very perfect choice. Hakikisha tu ipo kwenye condition nzuri
Sishauri simu nyingine tofauti na Xiaomi 13T Pro kwa 500K hadi 600K

Japo kuna sehemu unapata S22 Ultra used kwa 700K ila huwa siziamini na matatizo yake ya greenlines
 
Kwa 600K Xiaomi 13T Pro hapa Bongo likely itakuwa ni used lakini kama ikiwa kwenye good condition, ni very worth it
Kwa bajeti ya laki 6 Xiaomi 13T Pro ni very perfect choice. Hakikisha tu ipo kwenye condition nzuri
Sishauri simu nyingine tofauti na Xiaomi 13T Pro kwa 500K hadi 600K

Japo kuna sehemu unapata S22 Ultra used kwa 700K ila huwa siziamini na matatizo yake ya greenlines
Samsung Wabongo Wameleta Copy Nyingi sana na Hizo Greenlines mara Dot ni Tatizo kubwa.... Hapo ndio Hofu ya kila mtu.
Aksante kwa Ushauri wacha Nijaribu nione na Hii 13T Pro
 
Back
Top Bottom