Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Jul 6, 2012 #22 rushanju said: hukunya sura???? hivi sio matusi kweli?? Click to expand... Hivi kumbe 'kunya" ni tusi...!!!
rushanju said: hukunya sura???? hivi sio matusi kweli?? Click to expand... Hivi kumbe 'kunya" ni tusi...!!!
grafani11 JF-Expert Member May 24, 2011 15,442 5,807 Jul 6, 2012 #23 Kwani hukuona wakati wa kuomba ubunge wa EALA hata Mheshimiwa Spika mama yetu Makinda aliomba maji kwa kumsikiliza tu yule "My dail Bread" bana.
Kwani hukuona wakati wa kuomba ubunge wa EALA hata Mheshimiwa Spika mama yetu Makinda aliomba maji kwa kumsikiliza tu yule "My dail Bread" bana.
grafani11 JF-Expert Member May 24, 2011 15,442 5,807 Jul 6, 2012 #24 Ukitaka uone ugumu wa lugha ya Sir Cameroon, ngoja dereva mzungu afanye kosa halafu uone jinsi vijana wa Mwema wanavyombwelambwela.
Ukitaka uone ugumu wa lugha ya Sir Cameroon, ngoja dereva mzungu afanye kosa halafu uone jinsi vijana wa Mwema wanavyombwelambwela.
Caroline Danzi JF-Expert Member Dec 19, 2008 3,713 1,263 Jul 6, 2012 #25 twatwatwa said: Kuongea kigreza ni mfumo KRISTO. . Pia sio lugha yetu Click to expand... Hata kiswahili hatujui, sijui tunajua nini? Dah! tunakosa chance nyingi sana kwa kukugumiza kutafuta maneno ya kiingereza. Pole zetu.
twatwatwa said: Kuongea kigreza ni mfumo KRISTO. . Pia sio lugha yetu Click to expand... Hata kiswahili hatujui, sijui tunajua nini? Dah! tunakosa chance nyingi sana kwa kukugumiza kutafuta maneno ya kiingereza. Pole zetu.
Githeri JF-Expert Member Apr 2, 2012 811 335 Jul 6, 2012 #26 Caroline Danzi said: Hata kiswahili hatujui, sijui tunajua nini? Dah! tunakosa chance nyingi sana kwa kukugumiza kutafuta maneno ya kiingereza. Pole zetu. Click to expand... hii heading imenifurahisha sana. Ila inakaukweli
Caroline Danzi said: Hata kiswahili hatujui, sijui tunajua nini? Dah! tunakosa chance nyingi sana kwa kukugumiza kutafuta maneno ya kiingereza. Pole zetu. Click to expand... hii heading imenifurahisha sana. Ila inakaukweli