Kwa nini wasichana mko hivi?

george mjema

New Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
1
Reaction score
0
Imekua kawaida ya wasichana kuseduce wavulana alafu wakitongozwa wanaleta pozi, kwanin?
 
Tumekuja chokoza!!!!
Hamtaniwi?
 
Ni kawaida ya wavulana na wasichana........
Wanawake na wanaume hawafanyi hivyo.........ukikua mwanaume utaelewa........
 
Mi napita naenda zangu bar ndo nikawaona kwa mbaaali...loading error....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…