G george mjema New Member Jan 7, 2014 1 0 May 25, 2014 #1 Imekua kawaida ya wasichana kuseduce wavulana alafu wakitongozwa wanaleta pozi, kwanin?
Y ykyo Member May 22, 2014 23 4 May 25, 2014 #4 Ennie said: Tumekuja chokoza!!!! Hamtaniwi? Click to expand... nisumbue sumbue usikubal haraka haraka
Ennie said: Tumekuja chokoza!!!! Hamtaniwi? Click to expand... nisumbue sumbue usikubal haraka haraka
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 May 25, 2014 #5 Ni kawaida ya wavulana na wasichana........ Wanawake na wanaume hawafanyi hivyo.........ukikua mwanaume utaelewa........
Ni kawaida ya wavulana na wasichana........ Wanawake na wanaume hawafanyi hivyo.........ukikua mwanaume utaelewa........
jembe afrika JF-Expert Member Jan 15, 2014 7,604 3,753 May 25, 2014 #6 Mi napita naenda zangu bar ndo nikawaona kwa mbaaali...loading error....
H hamadoly Member Jun 17, 2011 43 1 May 27, 2014 #7 Preta said: Ni kawaida ya wavulana na wasichana........ Wanawake na wanaume hawafanyi hivyo.........ukikua mwanaume utaelewa........ Click to expand... Kidudu mtu ndo we nn
Preta said: Ni kawaida ya wavulana na wasichana........ Wanawake na wanaume hawafanyi hivyo.........ukikua mwanaume utaelewa........ Click to expand... Kidudu mtu ndo we nn