george mjema
New Member
- Jan 7, 2014
- 1
- 0
Imekua kawaida ya wasichana kuseduce wavulana alafu wakitongozwa wanaleta pozi, kwanin?
Tumekuja chokoza!!!!
Hamtaniwi?
Kidudu mtu ndo we nnNi kawaida ya wavulana na wasichana........
Wanawake na wanaume hawafanyi hivyo.........ukikua mwanaume utaelewa........