Kwa nini wanawake wengine hawajui kuacha?

Kwa nini wanawake wengine hawajui kuacha?

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,121
Reaction score
1,981
Hapa duniani kweli watu tumeumbwa na tabia tofauti tofauti lakini nimegundua kuna wanawake hawajui kuachana na mpenzi wake hata kama uhusiano ulivunjika miaka 5 iliyopita

Kuna mwanamke hata kama mliachana kwa shari ya namna gani hawezi kufuta namba yako ya sim kamwe,hata kama ulioa mwanamke mwingine au upo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine,na hata kama uliwahi kumtambulisha kwa ndugu,jamaa na marafiki wataendelea kuwasiliana nao shem ,wifi zitaendelea ingawa na yeye ana mahusiano na mwanaume mwingine


Ex wake akiomba kurudiana huwa hawakatai hata kama mliachana kwa bifu kubwa na hata kama ni kwa kusalitiana,halafu nimegundua mwanamke mara nyingi hataki mpenzi mpya,akiachwa huanza kumtafuta ex wake wa zamani hata kama ex wake yupo kwenye mahusiano na hujaribu kurudisha mawasiliano moja kwa moja kwa kukuandikia sms za salamu na mwisho wa maongezi atakwambia nilikuwa nakusalimia tu! Au kwa njia nyingine mfano anaweza akakuposti kukuwishi happy birthday au akaposti zawadi uliyowahi kumnunulia au akaposti,ndugu yako,rafiki kwa kuandika status ya kuonyesha hisia kuwa wapo pamoja na anatambua uwepo wa ndugu hao

Anaweza kumfumania (live)mpenzi wake ana mwanamke mwingine saa 10 za jioni,mwanaume kama kawaida akagomba na akakasirika lakini huyu mwanamke ataanza kumuomba msamaha na saa 3 za usiku mwanamke atampa penzi na huku saa chache alitoka kumfumania mwanaume

Wanawake hawa huwa mapungufu gani?
 
sio mapungufu....hayo ni makoloni, kama TZ ilivyo koloni la waingereza
 
Pia wanawake wa hvyo wana njaa sana anaona kabisa akitoka kwq hilo bwege atakufaa njaa
 
Ni asili tu ya kibinadam kwakuwa hata sisi wanaume tuna tabia hiyo pia na ndio maana umesema inaweza kuwa mliachana lakini baada ya muda mrefu kupita ukikutana nae mnaweza kukumbushia
 
Hii ni kweli kwamba kuna wengine hata kama alikufanyia ufarao lakini inafika kipindi ukiwa na mwengine anaona wivu..
Mimi niliwahi kuwa nae wa hivo baada ya kuachana nikawa na mahusiano na muhehe mmoja na yule wa kwanza alikua ni muha. Basi alikua na wivu hatari kana kwamba bado nipo nae.
Yaani alikua ananitafuta nikimwambia nipo na muhehe wangu anakasirika sana.
 
Hapa duniani kweli watu tumeumbwa na tabia tofauti tofauti lakini nimegundua kuna wanawake hawajui kuachana na mpenzi wake hata kama uhusiano ulivunjika miaka 5 iliyopita

Kuna mwanamke hata kama mliachana kwa shari ya namna gani hawezi kufuta namba yako ya sim kamwe,hata kama ulioa mwanamke mwingine au upo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine,na hata kama uliwahi kumtambulisha kwa ndugu,jamaa na marafiki wataendelea kuwasiliana nao shem ,wifi zitaendelea ingawa na yeye ana mahusiano na mwanaume mwingine


Ex wake akiomba kurudiana huwa hawakatai hata kama mliachana kwa bifu kubwa na hata kama ni kwa kusalitiana,halafu nimegundua mwanamke mara nyingi hataki mpenzi mpya,akiachwa huanza kumtafuta ex wake wa zamani hata kama ex wake yupo kwenye mahusiano na hujaribu kurudisha mawasiliano moja kwa moja kwa kukuandikia sms za salamu na mwisho wa maongezi atakwambia nilikuwa nakusalimia tu! Au kwa njia nyingine mfano anaweza akakuposti kukuwishi happy birthday au akaposti zawadi uliyowahi kumnunulia au akaposti,ndugu yako,rafiki kwa kuandika status ya kuonyesha hisia kuwa wapo pamoja na anatambua uwepo wa ndugu hao

Anaweza kumfumania (live)mpenzi wake ana mwanamke mwingine saa 10 za jioni,mwanaume kama kawaida akagomba na akakasirika lakini huyu mwanamke ataanza kumuomba msamaha na saa 3 za usiku mwanamke atampa penzi na huku saa chache alitoka kumfumania mwanaume

Wanawake hawa huwa mapungufu gani?

Siyo Wanawake tu hata Wanaume wengi tu wako hivyo, ni swali gumu lenye majibu mengi jibu la kwanza na rahisi ni kwamba wengi wao wanaong’ang’ania wapenzi wa zamani ni watu ambao hawana ,,options” yaani ni ngumu kwao kupata mtu hivyo anabakia na kujiliwaza tu, lkn kama mtu ana options anaendelea mbele fasta tu.

Kingine ni utegemezi, wengi anakuwa anahitaji mtu mwingine ili aweze kuishi yaani hawezi kukaa mwenyewe hivyo anang’ang’ania yule aliyepo.

Lkn usichanganye mambo kwa kuwa tu anakung’ang’ania hata kama mmeachana haiamaanishi kwamba kakupenda, wengine anakutumia tu mpaka siku atakapopata mwingine atakayemfaa na kusepa kimoja, hivyo kuwa mwangalifu hapo!
 
Siyo Wanawake tu hata Wanaume wengi tu wako hivyo, ni swali gumu lenye majibu mengi jibu la kwanza na rahisi ni kwamba wengi wao wanaong’ang’ania wapenzi wa zamani ni watu ambao hawana ,,options” yaani ni ngumu kwao kupata mtu hivyo anabakia na kujiliwaza tu, lkn kama mtu ana options anaendelea mbele fasta tu.

Kingine ni utegemezi, wengi anakuwa anahitaji mtu mwingine ili aweze kuishi yaani hawezi kukaa mwenyewe hivyo anang’ang’ania yule aliyepo.

Lkn usichanganye mambo kwa kuwa tu anakung’ang’ania hata kama mmeachana haiamaanishi kwamba kakupenda, wengine anakutumia tu mpaka siku atakapopata mwingine atakayemfaa na kusepa kimoja, hivyo kuwa mwangalifu hapo!
Hata kama wanaume tuko hivyo.huwezi kurudiana na ex wako moja kwa moja labda ni kupoza lakini mwanamke yeye anahitaji mrudiane moja kwa moja na cha ajabu yeye haijalishi kama una mtu tayari
 
Hata kama wanaume tuko hivyo.huwezi kurudiana na ex wako moja kwa moja labda ni kupoza lakini mwanamke yeye anahitaji mrudiane moja kwa moja na cha ajabu yeye haijalishi kama una mtu tayari

Ndo maana nikasema kuwa mwangalifu hapo, wengine ni utegemezi tu, anakuwa hawezi kukaa mwenyewe hivyo anakutumia maadamu wewe mwenyewe unakubali mpaka siku atakapopata mwingine na akipata hautamuona tena.

Hivyo kwa kuwa tu anakung’ang’ania haimaanishi kakupenda, kwanza ni kinyume chake kwani demu aliyekupenda hawezi kukubali kuchangia Mwanaume na demu mwingine, hivyo ukiona anajua una mtu na bado hajali anakufwata ni kwamba anakutumia tu kujiweka sawa halafu siku moja atasepa kimoja.

Kuwa mwangalifu hapo, binadamu tuna Siri nyingi sana na siyo kila kitu kiko wazi!
 
Kuna wanaume ambao pia hawajui kuachana, atasema amekuacha ila inapita kama mwezi anarudi kukulilia tena, yupo na mwingine lakini hayupo tayari kukuacha uende zako.
 
Back
Top Bottom