Runner
Member
- Feb 7, 2011
- 85
- 13
Habari wapendwa wana JF,kwa kweli nimekaa nikafikiria na kujiuliza sana juu ya hili swala "kwa wanandoa wengi siku hizi wanasaliti ndoa zao?"....Katika watu nilioongea nao asilimia kubwa wanakwambia "nna dada mmoja natembea nae,ila ni mke wa mtu au nna kijana wangu anaemsaidia mzee shughuli nyingine"....sasa mimi nilitamani kufahamu,ni kwann hili wimbi la wanandoa kutoka nje ya ndoa chanzo chake ni nini hasa?Kwa hali hii ni nini maana ya ndoa?