Kwa nini vyuo vikuu vyote vya serikali vinaongozwa na makam mkuu wa chuo (Vice chancellor)

Ekyoma

JF-Expert Member
Dec 30, 2015
2,177
2,802
Wana jamvi huwa najiuliza sana kwa nini vyuo vikuu vyote vya serikali vinaongozwa na makam mkuu wa chuo ya van vice chancellor na uyo mkuu wa chuo yani chancellor kazi zake ni zipi

Mfano UDSM kinaongozwa na mkandara, Open kinaongozwa na Basanda , Mzumbe vilevile kinaongozwa na makam pia UDOM yan vyuo vyote vya serikali vinaongozwa na makam mkuu

Wasiwasi wangu isije kua hao wakuu wenyewe wa vyuo wakawa ni wanasiasa na kama ni wanasiasa basi tusitegemee tofauti kati ya PHD holder na graduate au graduate na form four.

Wakuu naomba kujua hao wakuu wa vyuo hivi vikuu vya serikali wako wapi na kazi zao ni zipi
 
Wana jamvi huwa najiuliza sana kwa nini vyuo vikuu vyote vya serikali vinaongozwa na makam mkuu wa chuo ya van vice chancellor na uyo mkuu wa chuo yani chancellor kazi zake ni zipi

Mfano UDSM kinaongozwa na mkandara, Open kinaongozwa na Basanda , Mzumbe vilevile kinaongozwa na makam pia UDOM yan vyuo vyote vya serikali vinaongozwa na makam mkuu

Wasiwasi wangu isije kua hao wakuu wenyewe wa vyuo wakawa ni wanasiasa na kama ni wanasiasa basi tusitegemee tofauti kati ya PHD holder na graduate au graduate na form four.

Wakuu naomba kujua hao wakuu wa vyuo hivi vikuu vya serikali wako wapi na kazi zao ni zipi
Wana jamvi huwa najiuliza sana kwa nini vyuo vikuu vyote vya serikali vinaongozwa na makam mkuu wa chuo ya van vice chancellor na uyo mkuu wa chuo yani chancellor kazi zake ni zipi

Mfano UDSM kinaongozwa na mkandara, Open kinaongozwa na Basanda , Mzumbe vilevile kinaongozwa na makam pia UDOM yan vyuo vyote vya serikali vinaongozwa na makam mkuu

Wasiwasi wangu isije kua hao wakuu wenyewe wa vyuo wakawa ni wanasiasa na kama ni wanasiasa basi tusitegemee tofauti kati ya PHD holder na graduate au graduate na form four.

Wakuu naomba kujua hao wakuu wa vyuo hivi vikuu vya serikali wako wapi na kazi zao ni zipi
sio vya serikali pekee hata vya private pia mfano makumira
 
Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli amemteua Rais mstaafu Dkt Jakaya Kikwete kuwa mkuu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Tangazo la uteuzi huo limetolewa na katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue.
Uteuzi huo umeanza kutekelezwa tarehe 17 Januari.
Balozi Nicholas Kuhanga amekuwa akishikilia wadhifa huo kama kaimu, kwa mujibu wa tovuti ya chuo kikuu hicho.

Source bbcswahili.com
 
Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli amemteua Rais mstaafu Dkt Jakaya Kikwete kuwa mkuu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Tangazo la uteuzi huo limetolewa na katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue.
Uteuzi huo umeanza kutekelezwa tarehe 17 Januari.
Balozi Nicholas Kuhanga amekuwa akishikilia wadhifa huo kama kaimu, kwa mujibu wa tovuti ya chuo kikuu hicho.

Source bbcswahili.com
Duuuuu si mchezo.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom