Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Umewahi kujiuliza hili
umewahi kujua nan anakupenda nani akupendi..............,hivi kwa nini watu wanafurahia sana
waakati wanapooana lakini wakiwa wanaachana unakuta wengi wanafurahia kimoyo moyo kwa ndani
je umewahi kujua upendo halisi ni upi......??
Wakati wa harusi wako wanaochanga mpaaka mamilioni lakini umewahi kujiuliza kwa nini
wakati wa kuachana ni mzigo wenu ninyi wawili pekeyenu ..je unahisi waliokuwa wakichangia mamillion
wamekufa ama awapo hatta kushiriki kusuluhisha shida zako za ndoa....sisemi vibaya kuwa makini na ndugu ama marafiki lakini dhumuni kubwa na halisi weekend hii unapoenda kwenye harusi za enzio leo jumamosi ujue kesho ni ya kwako usikae tu unakata maji bure bila kikomo kisa umelipia sh 30,000 kwenye mchango jua siku mojaa na wewe utakuwa pale mbele ukigonganisha glasss na baada ya hapo saa sita usiku ukiwa na mkeo ndio unajua ndoa ni nini
ni mamombi yangu kwako na kwa familia yako jitahidini matatizo yenu muyasuluhishe wenyewe na sio kutegemea ndugu marafiki ama majirani..ndoa ni watu wawili..ingawa kwingine tumeruhusu wa nne kikomo naamini matatizo yakitokeaa ni ninyi wenyewe
amani ya bwana iwatangulie kwa wale mnaoenda kwenye harusi leo jitahidini muwe na kadi msitegemee ndugu kuwaingiza kwa mkupuo kama wachaga enzi hizo ...najua mtakuja kuongea ninapita tu lizy
mbarikiwe
umewahi kujua nan anakupenda nani akupendi..............,hivi kwa nini watu wanafurahia sana
waakati wanapooana lakini wakiwa wanaachana unakuta wengi wanafurahia kimoyo moyo kwa ndani
je umewahi kujua upendo halisi ni upi......??
Wakati wa harusi wako wanaochanga mpaaka mamilioni lakini umewahi kujiuliza kwa nini
wakati wa kuachana ni mzigo wenu ninyi wawili pekeyenu ..je unahisi waliokuwa wakichangia mamillion
wamekufa ama awapo hatta kushiriki kusuluhisha shida zako za ndoa....sisemi vibaya kuwa makini na ndugu ama marafiki lakini dhumuni kubwa na halisi weekend hii unapoenda kwenye harusi za enzio leo jumamosi ujue kesho ni ya kwako usikae tu unakata maji bure bila kikomo kisa umelipia sh 30,000 kwenye mchango jua siku mojaa na wewe utakuwa pale mbele ukigonganisha glasss na baada ya hapo saa sita usiku ukiwa na mkeo ndio unajua ndoa ni nini
ni mamombi yangu kwako na kwa familia yako jitahidini matatizo yenu muyasuluhishe wenyewe na sio kutegemea ndugu marafiki ama majirani..ndoa ni watu wawili..ingawa kwingine tumeruhusu wa nne kikomo naamini matatizo yakitokeaa ni ninyi wenyewe
amani ya bwana iwatangulie kwa wale mnaoenda kwenye harusi leo jitahidini muwe na kadi msitegemee ndugu kuwaingiza kwa mkupuo kama wachaga enzi hizo ...najua mtakuja kuongea ninapita tu lizy
mbarikiwe