kwa nini nywele hutoa cheche pale tunapochana

Squidward

JF-Expert Member
Jul 21, 2014
6,925
7,935
Kuna muda unaweza kuchana nywele alafu ukashangaa vitu kama cheche za moto/umeme zinaonekana kwa mbali. Jaribu mida ya usiku/gizani uone.

hii inasababisha na nini wataalam?
 
Hizo ni chaji za umeme wa mwil.......... Binadamu hai anachaji na ndio kuna baadh ya nguo zilizotengeneza na nyulon za viwandan ukivaa wakat wa kuvua ukivua kwa spid utaona zinatoa mwanga.............Wale wanaougua kifafa kuna wakat mawimb ya umeme wa mwil yanakata na ndio maana huwa wananguka
 
Hizo ni chaji za umeme wa mwil.......... Binadamu hai anachaji na ndio kuna baadh ya nguo zilizotengeneza na nyulon za viwandan ukivaa wakat wa kuvua ukivua kwa spid utaona zinatoa mwanga.............Wale wanaougua kifafa kuna wakat mawimb ya umeme wa mwil yanakata na ndio maana huwa wananguka
Hii ni Sayansi ya kibongobongo tokea usukumani
 
Back
Top Bottom