Hii ni Sayansi ya kibongobongo tokea usukumaniHizo ni chaji za umeme wa mwil.......... Binadamu hai anachaji na ndio kuna baadh ya nguo zilizotengeneza na nyulon za viwandan ukivaa wakat wa kuvua ukivua kwa spid utaona zinatoa mwanga.............Wale wanaougua kifafa kuna wakat mawimb ya umeme wa mwil yanakata na ndio maana huwa wananguka