Kwa nini ndoa nyingi huingia mitafaruku?

Kwa nini ndoa nyingi huingia mitafaruku?

Nchaby

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
797
Reaction score
259
Habari wana JF.
Nimejiuliza sana sana lakini sijapata majibu yauhakika yanayo weza kuleta faraja.

Ukiangalia kwa umakini utagundua kuwa ndoa nyingi kwa sasa zina matatizo mengi mno. Hasa ya wanandoa kutoelewana, kutuhumiana kwenda nje ya ndoa, na pengine kufumaniana na kupishana katika mambo mbalimbali.
Najiuliza; hivi wanandoa hawa walioana pasipo kuridhika pande zote?

Lakini mbaya zaidi ni nyumba ndogo kupewa nafasi miaka michache tu ya maisha hayo ya ndoa!!!
Najiuliza; hivi ndio current new life style!!!!
Mdau wewe una lipi la kusema?
 
Hiki kizazi cha sasa tunajilemaza sana...Kwanza hatulichukulii suala zima la ndoa kwa umakini(kila mtu anataka kuolewa/kuoa ilimradi aoe/aolewe).Vile vigezo ambavyo vilikuwa vinawekewa vikwazo siku za nyuma siku hizi hakuna tena.
Wazazi wetu ni watu wenye busara sana walipokuwa wanachagulia mtu mume au mke walikuwa wanahakikisha wanayafanya hayo kwa uhakika mke awe mwenye tabia njema,mkarimu,anajua kujituma,anatoka katika familia yenye malezi bora kwamaana hio hata yeye atakuwa mlezi bora,anajua kujali,kujithamini na kuthamini wengine isitoshe anachunguzwa kama ni MSTAHAMILIVU!!Mwanaume anaangaliwa kama ni mchapakazi,analiweza kujukumu la kutunza familia n.k
Lakini vijana wa sasa tukijichagulia wenyewe mwanamke ataangalia mwanaume anazo kiasi gani mfukoni,Mwanaume anawekea kipaumbele umbo!Tunasahau vile vitu vya msingi vyote tunavyotakiwa kuviwekea vikwazo.
Sishangai kwanini ndoa za siku hizi hazidumu kwasababu tumenyimwa busara ,subira na ustahamilivu!
UPENDO ni kitu kingine kama watu hawapo pamoja kwa upendo hizo ndoa haziwezi kudumu...Because they dont have any reason to stick to each other...Ikumbukwe PESA ni pambo la dunia zinakuja na kuondoka tumezikuta na tutazioacha,leo hunazo na kesho huna na UMBO ni hivohivo tu linabadilika unamuoa kipotable kisha ananenepa kwasababu ya uzazi,maradhi au vice versa au unaweza upate ajali uwe kilema HUJAFA HUJAUMBIKA...Madhali kuna upendo ndoa inadumu hebu nikumbushe ile ndoa ya Marehem SAJUKI na WASTARA ule ndio mfano wa kuigwa...
 
Unajua kizazi cha sasa ni DIGITAL yaan unathaminiwa kutokana na mfuko wako!!!!
jumatano iliyopita rafiki yangu alifanya mapenzi na mke wa mtu gesti katikati ya game mume kapiga simu mke kapokea na kumwambia yupo kwa shangaz yake na atachelewa kurudi ....!!!!!
nikasema mm sioi kama lyf yenyewe ndo hii bora nibak bachelor.....!!!
 
unajua kizazi cha sasa ni digital yaan unathaminiwa kutokana na mfuko wako!!!!
Jumatano iliyopita rafiki yangu alifanya mapenzi na mke wa mtu gesti katikati ya game mume kapiga simu mke kapokea na kumwambia yupo kwa shangaz yake na atachelewa kurudi ....!!!!!
Nikasema mm sioi kama lyf yenyewe ndo hii bora nibak bachelor.....!!!

acha woga kjana wakwako atasema yuko kzn umeshaiona tofauti? Ndomana pamoja na matatizo unayoyackia kwenye ndoa lkn watu wanaendela kuoana
 
Hiki kizazi cha sasa tunajilemaza sana...Kwanza hatulichukulii suala zima la ndoa kwa umakini(kila mtu anataka kuolewa/kuoa ilimradi aoe/aolewe).Vile vigezo ambavyo vilikuwa vinawekewa vikwazo siku za nyuma siku hizi hakuna tena.
Wazazi wetu ni watu wenye busara sana walipokuwa wanachagulia mtu mume au mke walikuwa wanahakikisha wanayafanya hayo kwa uhakika mke awe mwenye tabia njema,mkarimu,anajua kujituma,anatoka katika familia yenye malezi bora kwamaana hio hata yeye atakuwa mlezi bora,anajua kujali,kujithamini na kuthamini wengine isitoshe anachunguzwa kama ni MSTAHAMILIVU!!Mwanaume anaangaliwa kama ni mchapakazi,analiweza kujukumu la kutunza familia n.k
Lakini vijana wa sasa tukijichagulia wenyewe mwanamke ataangalia mwanaume anazo kiasi gani mfukoni,Mwanaume anawekea kipaumbele umbo!Tunasahau vile vitu vya msingi vyote tunavyotakiwa kuviwekea vikwazo.
Sishangai kwanini ndoa za siku hizi hazidumu kwasababu tumenyimwa busara ,subira na ustahamilivu!
UPENDO ni kitu kingine kama watu hawapo pamoja kwa upendo hizo ndoa haziwezi kudumu...Because they dont have any reason to stick to each other...Ikumbukwe PESA ni pambo la dunia zinakuja na kuondoka tumezikuta na tutazioacha,leo hunazo na kesho huna na UMBO ni hivohivo tu linabadilika unamuoa kipotable kisha ananenepa kwasababu ya uzazi,maradhi au vice versa au unaweza upate ajali uwe kilema HUJAFA HUJAUMBIKA...Madhali kuna upendo ndoa inadumu hebu nikumbushe ile ndoa ya Marehem SAJUKI na WASTARA ule ndio mfano wa kuigwa...

wandamu wa sasa wanaangalia sana utu wa nje,hawajui kuwa hizo ni nakshi tuuuuuuu! lakini ukweli uko katika utu wa ndani yamtu
 
acha woga kjana wakwako atasema yuko kzn umeshaiona tofauti? Ndomana pamoja na matatizo unayoyackia kwenye ndoa lkn watu wanaendela kuoana

mkubwa unasupport cheating!!!!!!
hv hujasikia watu wanajinyonga kisa mapenzi....???
 
Hiki kizazi cha sasa tunajilemaza sana...Kwanza hatulichukulii suala zima la ndoa kwa umakini(kila mtu anataka kuolewa/kuoa ilimradi aoe/aolewe).Vile vigezo ambavyo vilikuwa vinawekewa vikwazo siku za nyuma siku hizi hakuna tena.
Wazazi wetu ni watu wenye busara sana walipokuwa wanachagulia mtu mume au mke walikuwa wanahakikisha wanayafanya hayo kwa uhakika mke awe mwenye tabia njema,mkarimu,anajua kujituma,anatoka katika familia yenye malezi bora kwamaana hio hata yeye atakuwa mlezi bora,anajua kujali,kujithamini na kuthamini wengine isitoshe anachunguzwa kama ni MSTAHAMILIVU!!Mwanaume anaangaliwa kama ni mchapakazi,analiweza kujukumu la kutunza familia n.k
Lakini vijana wa sasa tukijichagulia wenyewe mwanamke ataangalia mwanaume anazo kiasi gani mfukoni,Mwanaume anawekea kipaumbele umbo!Tunasahau vile vitu vya msingi vyote tunavyotakiwa kuviwekea vikwazo.
Sishangai kwanini ndoa za siku hizi hazidumu kwasababu tumenyimwa busara ,subira na ustahamilivu!
UPENDO ni kitu kingine kama watu hawapo pamoja kwa upendo hizo ndoa haziwezi kudumu...Because they dont have any reason to stick to each other...Ikumbukwe PESA ni pambo la dunia zinakuja na kuondoka tumezikuta na tutazioacha,leo hunazo na kesho huna na UMBO ni hivohivo tu linabadilika unamuoa kipotable kisha ananenepa kwasababu ya uzazi,maradhi au vice versa au unaweza upate ajali uwe kilema HUJAFA HUJAUMBIKA...Madhali kuna upendo ndoa inadumu hebu nikumbushe ile ndoa ya Marehem SAJUKI na WASTARA ule ndio mfano wa kuigwa...

Mimi49 umemaliza kila kitu nakumbuka kwetu kijijini ilikuwa wazazi wakijua kwao na binti ni wachawi, hapo ndo ulikuwa mwisho wa uhusiano hata kama angekuwa mzuri kama malaika waligeuka mbogo wacha kabisa.
 
mkuu, matatizo ya ndoa yapo mengi saana but mi nadhani vitu kama
kuoana pasipo mapenzi ya kweli +tamaa, ndizo sababu kuu za ndoa za sikuhizi kuvunjika baaasi!
 

hizi ndoa za . com jamani acheni
kuna wengine upendo unakuepo pale
mwanaume akiwa hana pesa,mke atavumilia yote
siku mume akizinyaka mke hakuna rangi ataacha kuona
kama mke nae uvumilivu utamshinda atatafuta solution
ya kujifaraji,mpaka hapo ndoa inakua ishaingia luba!!
yapo mengi yanayosababisha,ni mapungufu na kujiendekeza tu!!
 
Back
Top Bottom