Truth guy.
JF-Expert Member
- Oct 30, 2013
- 396
- 195
Mara baada ya kuweka uzi wa tuhuma nzito kwa Deo Mwanyika,wengi wamenikashfu sana badala ya kutaka nithibitishe,mwaka 2007 wakati wa mgomo wa wafanyakazi wa BARRICK BULYANHULU,Mwanyika kupitia kituo cha runinga cha ITV,kwa makusudi kabisa huku akijua anaongea uongo mbele za Mungu na taifa lote,alidanganya akisema mgomo huo umetokana na wafanyakazi kutaka wawe wanapewa nafasi kwenye ndege ya DASH 8,wakati uwezo wa ndege ni abiria 30 na wao wapo zaidi ya elfu,mishahara yao ni mikubwa mno,kima cha chini ni sh mil 1.8,naami wapo wenye kumbukumbu waliomuona,leo hii akifuatwa kuhojiwa na chombo chochote cha habari ni lazima atadanganya,nina salary slips za wafanyakazi za tangu mwaka 2001 hadi leo,Bynercut imepewa maeneo ya uchimbaji ya Barrick na sasa wafanyakazi wengi wa Barrick(underground mining) wanataka kupunguzwa kazi kinyume cha sheria ya kazi ya kuvunja mkataba,anayepinga jamani hajui,mi siyo chizi wa kuleta uzi wa kufikirika kama baadhi mnavyonituhumu,I'm a private agent,kwa maslahi ya taifa langu.