Asante kwa kunifungua macho Mtambuzi,, yaan nimepima juu ya mafanikio ya watu ambao wanachuki kali dhidi ya wengine na kiukweli hawana maendeleo hata kama huwa wanalipwa pesa nyingi,,
hii yote ni kutokana na kuwa pesa zao pia huwa hawafanyii mambo ya maendeleo ila hufanya show off ili wapate attention kwa wa2 wengine na waonekane wao ni bora zaidi,,
Asante kwa somo la Leo,,