sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Swala la kutoitangaza hiyo stori sifahamu, lakini mimi sikutaka ijengwe! Serikali yetu inaugonjwa wa kudharau ushauri wa wataalamu ndio maana nchi inazidi kudidimia kiuchumi. Wataalamu wameshauri isijengwe sababu itaathiri mazingira, uchumi na utalii halafu serikali ikaleta dharau. Thanx americans for this!
Hivi nani kawaambia Tanzania kuna waandishi wa habari? Pumba tupu!!!!! Binafsi nilikuwa nataka sana hii barabara ijengwe mi sioni hiyo faida ya utalii cause mapato ya utalii yanatumika kumsafirisha ****** na mkewe nje ya nchi tu kila siku na kununua ma V8 ya viongozi bora tujengewe barabara tupite tu tujue moja
Ile ni copy tu, hata walichokopi hawakijui!ipo kwenye The Guardian la leo mkuu
Nimejaribu kupitia magazeti leo jumapili sioni hata moja lililocover story ya serengeti ikiwa serikali imenawa mikono kutokana na shinikizo la marekani...embu ona serikali ilijifanya kichwa ngumu...wakenya wakachombeza...barabara ikijengwa itaathiri migration ya nyumbu kwenda kenya....obama ni mkenya...marekani wakapigilia msumari wa mwisho jeneza la tanzania kudadadeki​