1. Magari meusi si salama sana maana hayaonekani barabarani yanafanana na lami. (Yanavutia kwa mtazamo lakini sio salama)
2. Magari mekundu yanamtazamo wa kinadharia kwamba nyekundu ni rangi ya hatari, yaani inatisha kwa waliowengi.
3. Magari ya blue, kiasi yanavutia lakini kwa rangi ilopakwa kwa ustadi mkuu
4. Magari meupe yanavutia na kiusalama nimazuri sana, lakini dosari kidogo ya rangi inachafua taswira na muonekano wa gari
5. Magari ya rangi ya silver
-Kiusalama, yanaonekana vema barabarani, inakaribiana na nyeupe.
-Haichomi macho, wala kutisha kama ilivyo red
-Gari ikisafiri hata barabara ya vumbi bado itaonekana vizuri kuliko nyeupe yaani inaficha uchakavu hata uchafu.
Rangi zingine bado kushindana na silver nivigumu sana, maana silver inabeba hata wapenzi wa gari nyeupe, samawati na pink.