Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,935
- 1,006
Tundu lisu alitoa ufafanuzi wakati kuchangia mswada wa marekebisho ya katibu mjini dodoma juzi na kudai kuwa mswada huo umekuwa wa upande mmoja hasa kwa kutoshirikishwa kwa wadau kadhaa,
Lakini lisu hakuweka wazi hao wadau anaowasema yeye ni akina nani au kunawadau wa chadema au wa lisu pakee ambao hawakushirikishwa?
Uncle Deo, mbona unatia aibu kujifanya unajua Mhe. Lissu alisema nini wakati hujui? Ama mbona unajitia uzu.zu kujifanya hujui Mhe. Lissu alisema nini wakati unajua?
Katika maelezo yake, Mhe Lissu, alitaja kwa majina na uwazi ni TAASISI gani Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kwa mujibu wa ratiba ya kwanza ba ya pili walipaswa kukutana nazo. Katika kielelezo cha pili ambayo ilikuwa ni ratiba iliyokuwa updated, Lissu akitaja taasisi walizopaswa kukutana nazo ikiwa ni pamoja na ;
1. Ofisi ya Rais, Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.
2. Zanzibar Election Committee
3. Zanzibar Law Society
4. Chuo Kikuu cha Zanzibar
5. .......................
6. .........................
7. .........................
8. ........................
Suala jingine, halikuwa jukumu la Kamati kuwaita waje huku bara, Kamati ilitakiwa kwenda kule kuchukua maoni.
Unapozungumzia siasa za Zanzibar, JAHAZI ASILIA na ADC, je ndiyo vyama pekee vya siasa huko?
Last edited by a moderator: