Njaa, tamaa, kupenda msererekoKinachowafanya WADADA kukubali kuzaa
Hakuna cha karibu mkuu umeshafanya watu tumebaka uzi😂Ah ah ah karibu.. MKUU
Tamaa ya kupata pesa, wanaamini wakizaa na mtu mwenye kipato, ndio utakuwa uhalali wa kummiliki; matokeo yake anakutana na baharia mjanja, akishamjaza upepo anapambana na yake na kumtelekeza. Ukifuatilia sana, hawajazaa na watu masikini.