Kwa nini Korea Kaskazini haishambuliwi kwa kuwa na tishio la silaha za Kinyuklia

Kwa nini Korea Kaskazini haishambuliwi kwa kuwa na tishio la silaha za Kinyuklia

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
5,752
Reaction score
10,523
Wadau kwa nini huyu Kim wa Korea Kaskazini na utawala wake hawa shambuliwi kwa kuwa na silaha za Kinyuklia kama anavyo hisia Iran kutaka kuwa nazo hizo silaha japo haijathibitika mpaka sasa kama anazo
 
Wadau kwa nini huyu Kim wa Korea Kaskazini na utawala wake hawa shambuliwi kwa kuwa na silaha za Kinyuklia kama anavyo hisia Iran kutaka kuwa nazo hizo silaha japo haijathibitika mpaka sasa kama anazo
Sababu anayo tayari Nyuklia.
 
NK imeshavuka kijeshi, Wana uhakika wa 100% kuwa wakishambulia hata wao hawatakuwa salama.
 
Kwa sababu north Korea ni kichaa mwenye panga mkononi tayali unapo enda kumshambulia hakikisha unamuua kabisaa ole wako umuache mahututi akapata nafuu akiamka anabonyeza batani zote kuelekea kwako
 
Irani ikifanikiwa itayafanikisha na makundi inayoyafadhili, kwa hiyo Israel hawezi kukubali kichaa kumiliki panga. Korea kaskazini inayo kwa ajili ya ulinzi wake tu.
 
Wadau kwa nini huyu Kim wa Korea Kaskazini na utawala wake hawa shambuliwi kwa kuwa na silaha za Kinyuklia kama anavyo hisia Iran kutaka kuwa nazo hizo silaha japo haijathibitika mpaka sasa kama anazo
Korea kaskazini ana rasimali gani ambazo zinaweza kuwa exploited Kwa wingi na watu wa west?
 
Issue ya iran ni tofauti, amekuwa akiwapa silaha vikundi ambavyo ni hatari. Hezbula hamas n.k hii imeleta taharuki kubwa kwa israel, marekani na baadhi ya nchi za kiarabu. Kama vikundi hivi vitakuwa na silaha za nyuklia basi zitaweza kutumiwa vibaya.
 
ULITAKA KUWAOMBEA NYUKLIA IRAN
 
Issue ya iran ni tofauti, amekuwa akiwapa silaha vikundi ambavyo ni hatari. Hezbula hamas n.k hii imeleta taharuki kubwa kwa israel, marekani na baadhi ya nchi za kiarabu. Kama vikundi hivi vitakuwa na silaha za nyuklia basi zitaweza kutumiwa vibaya.
Kwamba silaha za kinyuklia unagawa tu kama maembe ? Unauelewa hata kidogo tu kuhusu uhifadhi wa silaha hizo ?
 
Back
Top Bottom