Kwanza lazima ujue kuwa mtu wa kwanza kuishi hapo mkoani alikuwa ni jamii ya wasomali, kitu kilichopelekea kufahamika zaidi kama kwa msomali na baadae kufupishwa na kuitwa msoma, mkoa huo tangu asili ni eneo la watu wageni toka nchi za kaskazini mwa Tanzania hasa Somalia, na baadae kuanza kuitwa Wakulya yaani wakuja maana yake wageni,
Sasa kwa asili ya hao watu ni Local Somalies hawa huwa ni wakatili mno pia hawana hurma hata kwa maisha yao wenyewe ni watu wenye roho mbaya, siwasemi vibaya rejea taaartibu mila na destuli za watu wa Msoma, kuitwa Mara mkoa huo imetokana na Mwalimu Nyerere kipindi hicho anatafuta njia za kuikalia tanzania kama Raisi kujipenyeza kama ni mmoja wa wenyeji wa Tanzania ili aweze kuwa kiongozi wa nchi, na kujipachika kuwa yeye ni kabira la Wazanaki pia Mwali ndiye aliyebadirisha jina la mkoa kutoka Msoma na kuitwa Mara , hawa Wazanaki ni kakikundi ka watu pia kutoka huko huko Somalia, hivyo si ajabu sana kuona watu wa Msoma ni makatili sana