TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,202
- 25,378
Habari wadau.
Najua wengi mnatumia sana hii mitandao ya kijamii na facebook ukiwa mmoja wapo.
Ninachotaka tujuzane ni kuhusu jambo ili hapa.
Ukiwa ni mtumiaji wa muda mrefu au kipindi flani hivi utagundua ni kweli, kuna wakati unapo_log in na kuangalia ujumbe/post mpya au marafiki, mara nyingi katika wale watakao appear karibu zaidi ili uwaongeze kwako ni ndugu, jamaa au rafiki wa karibu.
Kutokana na hilo jiulize kwa nini picha zinazokuja na kujionesha kwa karibu ni za watu unaowafaham na siyo za wasio karibu na wewe?
Nawasilisha.
Najua wengi mnatumia sana hii mitandao ya kijamii na facebook ukiwa mmoja wapo.
Ninachotaka tujuzane ni kuhusu jambo ili hapa.
Ukiwa ni mtumiaji wa muda mrefu au kipindi flani hivi utagundua ni kweli, kuna wakati unapo_log in na kuangalia ujumbe/post mpya au marafiki, mara nyingi katika wale watakao appear karibu zaidi ili uwaongeze kwako ni ndugu, jamaa au rafiki wa karibu.
Kutokana na hilo jiulize kwa nini picha zinazokuja na kujionesha kwa karibu ni za watu unaowafaham na siyo za wasio karibu na wewe?
Nawasilisha.