Kwa nini hauolewi?

Ukifikia umri wa miaka 30 huna boyfriend mwenye ramani,inabidi wewe uanze kutongoza,lasivyo utazeekea kwenu.
Hahaa, kwani miaka 30 ndyo niaje niaje?, Mimi nna 30 now na sioni hata dalili so nianze kuwapigia miluzi [emoji30] [emoji30] . wakati sahihi ni wakati wa Bwana hivo hata nikiwa 40s wakati ukifika ntaolewa tuu. Ila ntakimbizana tu na menopause ntazaa faster faster vitoto vyangu vitano[emoji3] [emoji3]
 
ha ha ha ha kama usemayo ni ya kweli,nakushauri tafuta mtu uzae naye sasa;ili kuepusha changamoto za uzazi huko mbeleni.
 
Hapa naona umenigusa moja kwa moja mimi walaqhii Mkuu,
 
Ili iweje?Fedha ipo,kazi nzuri,anaishi pazuri,watoto anaye(alizaa na fala fulani hivi),anasomesha private,nyumba kali,usafiri wa nguvu anahudhuria sheli kisawasawa nk.Sasa aolewe ili iweje wakati akijisikia genye doldo zipo au mjinga moja atajikoki akipiga anaonyeshwa mlango wa kutokea.Waoaji wenyewe tabu tupu maisha kuunga unga hata baiskeli shida kwako.

Shubamiti,bora wajijalie tu.Ingawa kuolewa ni heshima kwenye Jamii.

Ingawa wengine kutokuolewa sio tatizo la wanaume bali wamepinda kitabia.
Kwani kila mtu anafaa kua mchumba??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndo hapo ni kwenda kuharibiana tu uhuru na raha za vile ukiwa mwenyew
 
Mwanamke mzuri,mrembo,una elimu nzuri,una kazi nzuri; kwa nini hauolewi?
View attachment 1131891

Wakati wa Bwana haujafika, ukifika ataolewa kwani hraka ya nini? Kwani kuolewa ni mkojo uliokubana kiasi kwamba ukichekewa unajikojolea? Ebu waacheni wasichana waolewe kwa wakati wao bwana haya maswali ndo yanasababisha waingie kwenye ndoa bila maandalizi matokeo yake mwaka mmoja tu wa ndoa tunasikia TALAKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…