Facha Don
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 343
- 317
Watu wengi tunakata tamaa katika mambo yetu/katika malengo tuliyojiweka kutokana na sababu mbalimbali zinazotuzunguka lakini kuna sababu ambazo mimi mpaka leo nazitumia katika maisha yangu ya kila siku ili kufikia malengo yangu niliyojiwekea.
Sababu hizo ni hizi:-
√-Huna haja ya kukata tamaa kwasababu bado. upo hai.
√-Kwanini ukate tamaa ?
√-Kwanini? Ulijiwekea Malengo
√-Wanao ishi katika Malengo yao ni ambao hawaja kata tamaa
√-Ukisha katatamaa nini kinafuata?
√-Dunia inawapenda watu wasio kata tamaa
Sababu hizo ni hizi:-
√-Huna haja ya kukata tamaa kwasababu bado. upo hai.
√-Kwanini ukate tamaa ?
√-Kwanini? Ulijiwekea Malengo
√-Wanao ishi katika Malengo yao ni ambao hawaja kata tamaa
√-Ukisha katatamaa nini kinafuata?
√-Dunia inawapenda watu wasio kata tamaa