Jamani mimi ni mtanzania ambaye nimeona mnisaidie kwa hili, Kwenye kampeni ya CCM mwanza JK aliahidi kulipa madeni yote ya NYANZA... ambayo ni zaidi Tsh billion tano. kati ahadi hiyo alikiri yafuatayo
Wabadhilifu ndio walioiua NYANZA na hivyo yeye atalipa deni hilo bila kusema kuwa walioiua nyanza atwafany nini, Je hii sio RUSHWA, na kama nakumbuka aliseme hilo halipo kwenye ilani ila atalibeba yeye.
Sasa mimi nauliza hizo hela atazitoa wapi? je ni halili kulipa deni bila kuwatask wahalifu kwanza au ndo uwajibikaji huo?
Inaniuma kwa sababu kuna watoto wanakaa chini, walimu hawana nyumba kwani japo asiwakumbuke hao lakini anataka kuwalinda wwezi,
jamani mi naomba msaada wenu kwa hili, hivi hatuwezi kumshtaki na kuliwekwe kwenye agenda za kampeni watu makini walisimamie. kwa hili sina ugomvi na wakuli wa kanda ya ziwa, lakini hii sio Rushwa kweli?
Wabadhilifu ndio walioiua NYANZA na hivyo yeye atalipa deni hilo bila kusema kuwa walioiua nyanza atwafany nini, Je hii sio RUSHWA, na kama nakumbuka aliseme hilo halipo kwenye ilani ila atalibeba yeye.
Sasa mimi nauliza hizo hela atazitoa wapi? je ni halili kulipa deni bila kuwatask wahalifu kwanza au ndo uwajibikaji huo?
Inaniuma kwa sababu kuna watoto wanakaa chini, walimu hawana nyumba kwani japo asiwakumbuke hao lakini anataka kuwalinda wwezi,
jamani mi naomba msaada wenu kwa hili, hivi hatuwezi kumshtaki na kuliwekwe kwenye agenda za kampeni watu makini walisimamie. kwa hili sina ugomvi na wakuli wa kanda ya ziwa, lakini hii sio Rushwa kweli?