I like your commentsKitu cha msingi ni kuleta ushindani mkubwa kwa chama cha ccm na kukiondoa madarakani bila kujali itikadi ya vyama.
Kama unadhani cuf wanafaa basi piga kura ya NDIYO kwa CUF.Kama unaona CHADEMA inafaa basi piga kura ya NDIYO.
Hii ndiyo Demokrasia tunayoipigia makelele na elimu ya uraia ambayo ni haba sana kwa watanzania walio wengi.
MYTAKE:
- Tuwashauri ndugu zetu kujua haki na wajibu wa kupiga kura kuchagua viongozi,na sio kuishia kulalamika kila kukicha.
- Tuwafundishe watoto wetu kwenye vyuo vya uandishi wa habari waache kulalamika kila kukicha kuwa wanaonewa na hawapewi haki ya kupata habari.
- Tuwaeleze ndugu zetu athari za kupewa rushwa ya uchaguzi 2000 na baada ya uchaguzi unairudisha bila wewe kujua.
- Mbona Tanzania kuna wasomi vijana wengi tuu wanatoka vijijini?hawaoni hili?viongozi wote wanaoshabikia ccm leo walisoma bure,iweje leo watuambie tulipie pesa nyingi hivyo?AMUA SASA.