mlimbwa1977
Member
- Feb 7, 2011
- 24
- 0
Wakati wa uteuzi wa mgombea kiti cha uspika ndani ya CCM mbiu ilikuwa ni wakati mwafaka kwa mwanamke kushika moja ya mihimili ya dola,ndipo tuliposhuhudia Ndugu Samwel Sita akienguliwa.
Ukiangalia safu ya uongozi mkuu wa chama hiki ukianzia mwenyekiti,m/mwenyekiti,Katibu mkuu,na wasaidizi wake wote ni wanaume.Je mbiu iliyokuwa ikiimbwa ya kuwapa wanawake madaraka makubwa ilikuwa hadaa kwa watanzania au ilikuwa ni chuki binafsi dhidi ya spika sita?
Kwa hakika sifurahii kabisa sera ya kupeana madaraka kama chakula,eti wabunge viti maalum!! mfumo huu unawadumaza wanawake na kujiona wao ni watu wa kupewa tu bila kuvuja jasho.Kadri watakavyojitokeza kwa wingi majimboni jamii itawakubali na hatimaye kuongezeka bungeni wakiwa na ajenda mahsusi zinazowapeleka kwa lengo la kuwakilisha jamii wanakotoka badala ya sasa.
Naomba tuchangie kwa masuala yote haya mawili.karibuni.ELEWA KADRI UNAVYOTOA MAWAZO YAKO CHANYA YANAWEZA KUSAIDIA KUIJENGA INCHI YETU.
Ukiangalia safu ya uongozi mkuu wa chama hiki ukianzia mwenyekiti,m/mwenyekiti,Katibu mkuu,na wasaidizi wake wote ni wanaume.Je mbiu iliyokuwa ikiimbwa ya kuwapa wanawake madaraka makubwa ilikuwa hadaa kwa watanzania au ilikuwa ni chuki binafsi dhidi ya spika sita?
Kwa hakika sifurahii kabisa sera ya kupeana madaraka kama chakula,eti wabunge viti maalum!! mfumo huu unawadumaza wanawake na kujiona wao ni watu wa kupewa tu bila kuvuja jasho.Kadri watakavyojitokeza kwa wingi majimboni jamii itawakubali na hatimaye kuongezeka bungeni wakiwa na ajenda mahsusi zinazowapeleka kwa lengo la kuwakilisha jamii wanakotoka badala ya sasa.
Naomba tuchangie kwa masuala yote haya mawili.karibuni.ELEWA KADRI UNAVYOTOA MAWAZO YAKO CHANYA YANAWEZA KUSAIDIA KUIJENGA INCHI YETU.